Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Newala 12-07-2016 mpaka sasa.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Newala Ndg. Andrew Frank Mgaya alizaliwa Agosti 15, 1978 katika Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe.
Historia ya Utendaji Kazi
Mwaka 2007 mpaka 2010 Ndg. Mgaya alifanya kazi kama Business Development Manager at TOHS. Mwaka 2010 hadi 2012 alifanyakazi kama Deputy Director Planning and Finance at St. Johns University (St. Marks centre). From 2012 to 2013 he worked as a Quality Assurance Services Manager at TPSC.
Mwaka 2013, alifanya kazi kama Meneja wa Programu katika Chuo cha Utumishi wa umma Dar es salaam na mwaka 2014 aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Chuo cha Utumishi wa umma tawi la Dar es salaam. Aliendelea kushika Wadhifa huo mpaka alipoteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mji Newala mwaka 2016.
Historia Kielimu
Newala-Mtwara
Anwani ya Posta: P.O.BOX 39
Simu: (+255) 023 2935398
Mobile: PS (0684439199)
Barua pepe: info@newalatc.go.tz
Haki milikiĀ©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa