• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Halmashauri ya Mji Newala yapokea simu 61 kwa ajili ya CHF iliyoboreshwa kutoka GIZ

Thursday 28th, August 2025
@Newala

Halmashauri ya Mji Newala imepokea simu 61 kutoka shirika la ufadhili wa masuala ya afya la nchini Ujerumani GIZ kwa ajili ya mradi wa kuboresha taarifa za uandikishaji majina ya wanachma wa Mfuko wa afya ya jamii (CHF) iliyoboreshwa.

Mkabidhiano ya msaada huo yamefanyika siku ya Alhamis Mei 9, 2019, baina ya mwakilishi wa GIZ mkoani Mtwara Bi. Mariam Omari na Mkurugenzi wa halmashauri akiwa sambamba na waratibu wa idara ya afya wa hospitali ya wilaya inayosimamiwa na halamashauri hiyo.


Mkurugenzi wa halmashauri ya mji Newala ndg. Andrew Mgaya (kushoto) akipokea simu za masaada wa GIZ ofisini kwa kwake mjini Newala kutoka kwa mwakilishi wa GIZ Bi. Mariam Omari.


Mwakilishi wa GIZ Bi. Mariam Omari (kulia) akikabidhi viambata vya manunuzi kwa Afisa manunuzi wa halmashauri ya mji Newala bwana Sumwike Kajela.


Mkurugenzi wa halmashauri ya mji Newala ndg. Andrew Mgaya (kushoto) akikabidhi simu kaimu Mganga mkuu wa halmashari ya mji Newala Dkt. Emanuel Athanas.

Kaimu Mganga mkuu wa halmashari ya mji Newala Dkt. Emanuel Athanas (kulia) akikabidhi simu kwa mratibu wa mfuko wa afya ya jamii.




Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WADAU WA ELIMU WATAKA USHIRIKIANO ILI KUINUA KIWANGO CHA ELIMU

    August 27, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI CHANJO KWA MIFUNGO NG'OMBE 111 MBUZI NA KONDOO 1556 WAMESHAPATIWA CHANJO YA RUZUKU

    August 26, 2025
  • JESHI LA MAGEREZA NEWALA WACHANGIA DAMU, KUFARIJI WAGONJWA NA KUFANYA USAFI HOSPITALI YA WILAYA NEWALA

    August 24, 2025
  • MHE. KUNDYA AWAAGIZA WATAALAM WA KILIMO NA FEDHA KUWAELISHA WAKULIMA KUHUSU UTUNZAJI WA FEDHA

    August 20, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa