• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Halmashauri ya Mji Newala yapokea simu 61 kwa ajili ya CHF iliyoboreshwa kutoka GIZ

Sunday 29th, January 2023
@Newala

Halmashauri ya Mji Newala imepokea simu 61 kutoka shirika la ufadhili wa masuala ya afya la nchini Ujerumani GIZ kwa ajili ya mradi wa kuboresha taarifa za uandikishaji majina ya wanachma wa Mfuko wa afya ya jamii (CHF) iliyoboreshwa.

Mkabidhiano ya msaada huo yamefanyika siku ya Alhamis Mei 9, 2019, baina ya mwakilishi wa GIZ mkoani Mtwara Bi. Mariam Omari na Mkurugenzi wa halmashauri akiwa sambamba na waratibu wa idara ya afya wa hospitali ya wilaya inayosimamiwa na halamashauri hiyo.


Mkurugenzi wa halmashauri ya mji Newala ndg. Andrew Mgaya (kushoto) akipokea simu za masaada wa GIZ ofisini kwa kwake mjini Newala kutoka kwa mwakilishi wa GIZ Bi. Mariam Omari.


Mwakilishi wa GIZ Bi. Mariam Omari (kulia) akikabidhi viambata vya manunuzi kwa Afisa manunuzi wa halmashauri ya mji Newala bwana Sumwike Kajela.


Mkurugenzi wa halmashauri ya mji Newala ndg. Andrew Mgaya (kushoto) akikabidhi simu kaimu Mganga mkuu wa halmashari ya mji Newala Dkt. Emanuel Athanas.

Kaimu Mganga mkuu wa halmashari ya mji Newala Dkt. Emanuel Athanas (kulia) akikabidhi simu kwa mratibu wa mfuko wa afya ya jamii.




Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI MAKARANI WA SENSA, MSIMAMIZI WA MAUDHUI NA MSIMAMIZI WA TEHAMA July 19, 2022
  • TANGAZO MIKOPO YA VIWANJA NA MATOFALI October 12, 2021
  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Viongozi wa dini wametakiwa kuwa chachu ya mabadiliko ya kukomesha ukatili katika jamii

    August 30, 2022
  • Wananchi 558 wa Halmashauri ya mji Newala wamepatiwa chanjo ya UVIKO-19 kwenye kampeni ya Mziki Mnene

    July 29, 2022
  • Dkt. Grace Magembe aridhishwa na hatua za utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya Nambunga

    July 28, 2022
  • Wananchi wa Newala wametakiwa kuchanja chanjo ya UVIKO-19 kujilkinga na hathari za korona

    July 27, 2022
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa