• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Afisa Maendeleo ya jamii avionya vikundi vya vijana wajasiriamali kutorejesha mkopo

Posted on: February 21st, 2020

Vikundi vya vijana wajasiriamali vilivyopewa mkopo na halmashauri ya mji Newala vimeonywa juu ya kutorejesha mikopo waliyopewa kwa kuwa mikopo hiyo ni lazima irejeshwe na inufaishe wengine kama lengo kusudiwa la serikali lilivyo.

Hayo yameelezwa mkuu wa idara ya maendeleo ya jamaii Bi. Frola Barakana wakati wa semina elekezi ya namna ya kutumia na kurejesha fedha hizo iliyofanyika leo Ijumaa 21/02/2020 katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri.

Barakana amesema vikundi vingi vya vijana nimekua na changamoto ya kutoendeleza miradi na badala yake wanagawana fedha na kukimbia naeneo wanayoishi kwa lengo la kutorejesha mikopo hiyo lakini kwa utaratibu wa sasa hatua kali zitaendeleo kuchukuliwa na hakuna atakayeza kukimbia.

Aidha amefafanua kuwa serikali kupitia halmashauri inatoa mikopo hiyo bila riba kwa vikundi vya wanawake, walemavu na vijana na jumla ya vikundi 27 vyenye wanachama 192 kwa awamu hii wamekopeshwa jumla ya shilingi miliioni 67.5.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa umoja wa Wajasiriamali halmashauri ya mji Newala Bw. Ahmed Naheka amevitaka vikundi hivyo kujiunga na umoja huo ili kupata fursa mbalimbali za kibiashara kama kushiriki maonesho mbalimbali ya bidhaa, kupata masoko, elimu ya biashara na namna ya kuongeza thamani ya bidhaa zao.

Bi. Marium Mneno mwakilishi wa walemavu na Bw. Shazil Yahaya Hamisi mwakilishi wa vijana wameishukuru serikali na idara ya maendeleo ya jamii kwa kuanza kuwapa uelewa na ushauri juu ya usimamizi wa miradi na kuahidi kurejesha mikopo hiyo kwa wakati ili iwanufaishe wengine.



Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa