• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Afisa mazingira Newala mji ataka wananchi kuzingatia agizo la NEMC

Posted on: August 27th, 2019

Afisa Mazingira wa halmashauri ya mji Newala Bw. Hyasinty Msanga amewataka wajasiriamali wadogo, wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla, kuacha kuitumia mifuko ya plastiki kama serikali ilivyoagiza ili kuepuka faini zisizo na lazima.

Rai hiyo ameitoa leo Jumanne Agosti 27, 2019 akiwa ofisini kwake, mara baada ya zoezi la kutoa elimu kwa wafanyabiashara na wajasiriamali wa soko kuu Newala, kuhusu matumizi sahihi ya vifungashio vya bidhaa kwa wateja wao.

Msanga amesema hatua hiyo imekuja baada ya uwepo wa uzalishaji na matumizi ya mifuko laini ya plastiki ambayo haijakidhi viwango hivyo baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), chini ya Wiraza ya Ofisi ya makamo wa Rais Muungano na mazingira,  Agosti 16 mwaka huu lilitoa wiki mbili ili watu wasitishe matumizi na uzalishaji wake.

Hata hivyo Msanga amesema kumekua na tabia ya wananchi kupuuza maagizo mbalimbali yanayotolewa na serikali, hivyo amewasihi kuachana na mifuko hiyo ili kuepuka usumbufu wa kulipa tozo, kwani faini zake zinaanzia shilingi elfu 30 hadi milioni 50 au kifungo cha kuanzia siku 7 hadi miezi 3 na halmashauri kupitia ofisi yake itasimamia zoezi hilo kama baraza lilivyoelekeza.

 “Kuna mifuko ya plastiki ambayo imetengezwa siku hizi ni myeupe alafu imekua myepesi, kiasi kwamba inauwezo wa kuchukua kilo moja, wananchi wengi wamekua wakiitumia mifuko hii ya plastiki kuifadhia nyama, vituu n.k, lakini baada ya kufanya utafiti ikaonekana mifuko hii haijakidhi viwango hivyo baraza likatoa notisi ya kusitisha kuzalishaji na uuzaji”, amefafanua Msanga.

Aidha amesema, NEMC imewataka watu kuacha kuzalisha, kuifadhi, kusambaza, kumiliki na kutumia mifuko hiyo, badala yake watumie mifuko mbadala iliyoelekezwa na mpaka jana Agosti 26, 2019 jumla ya viwanda vine (4) vimepigwa faini ya shilingi milioni 80 kutokana na kuzalisha mifuko ya plastiki isiyo na ubora.

Hii ni hatua ya muendelezo wa uamuzi wa serikali wa kutekeleza kanuni mpya za udhibiti matumizi ya mifuko ya plastiki za mwaka 2019  na matumizi ya mifuko mbadala zilizoanza kutumika Juni 01, mwaka huu kwa lengo la kutunza mazingira.



Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa