• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Baraza jipya la ardhi kata ya mkunya lapewa mafunzo ya utoaji haki kwenye migogoro

Posted on: February 6th, 2020

Kaimu Afisa Sheria wa halmshauri ya mji Newala ndg. Reginald Mbonde ametoa mafunzo ya usimamizi wa sheria kwa Baraza jipya la ardhi kata ya mkunya na kuwataka kujiepusha na rushwa na upendeleo katika maamuzi.

Mafunzo hayo yamefanyika jana Jumatano 02/05/2020 kwenye ukumbi ya mikutano wa ofisi ya Kata hiyo, ambapo amewataka kusimamia haki katika usuluhishi wa migogoro itakayo jitokeza pamoja na kujiepusha na rushwa ambayo imeonekana kuwa ni changamoto  na kulalamikiwa kwenye mabaraza mengi.

Aidha Mbonde amewaeleza kuwa baraza hilo sio chombo cha kutoa hukumu bali lipo kwa ajili ya kushauri na usuluhishi kwa lengo la kutatua migogoro kwenye jamii pasipo upendeleo na ukandamizaji wa haki, na kwamba watausika na usuluhishi wa mashauri madogo wasiyozidi malalamiko ya shilingi milioni tatu.

Hata hivyo amewataka kuwa wasiri na wavumilivu katikautendaji wao kazi kwa kuwa kazi ya utoaji haki haikosi malalamiko kwa kuwa mlalamikaji na mlalamikiwa wote wanaona wapo kwenye nafasi ya kuwa  anastahili kupewa haki.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji wa Kata hiyo Bi. Rehema Bakari Antukene amesema ana imani wa wajumbe wa baraza hilo kwa kuwa wote wamechaguliwa kwenye vijiji vyao hivyo wameaminiwa kusimamia maamuzi kwa kutumia busara walizonazo.

Baadhi ya wajumbe wa baraza hilo Bi. Amina Fumo na Hamisi Akili, wamewashukuru maafisa hao kwa hatua ya kuwapatia mafunzo ya awali kabla ya kuanza kazi na kuielezea kuwa imewaongezea uelewa na ujasiri katika jukumu lao.



Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa