• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Baraza la Madiwani halmashauri ya mji Newala limefikia ukomo wa shughuli zake 2015/2020

Posted on: June 4th, 2020

Baraza la Madiwani la halmashauri ya mji Newala jana June 03, 2020 limefikia okomo wake wa kiutendaji baada ya kuhairisha shughuli zake baada ya kuwatumikia wananchi waliowachagua kwa miaka mitano.

Hatua hiyo imekuja katika kikao cha baraza maalumu la madiwani la kufikia maridhiano ya ukomo wa uendeshaji wa shughuli za uwakailishi kutokana na matakwa kisheria ambapo madiwani wote kwa pamoja waliridhia hatua hiyo.

Akiwasilisha azimio hilo katibu wa baraza la madiwani, Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Ndg. Andrew Mgaya amesema sheria inataka mabaraza ya madiwani kufikia makubaliano ya kuahirisha shughuli zake kabla ya Waziri wenye zamana (TAMISEMI) kuvunja mabaraza yote siku 14 kabla bunge la Jamhuri ya Muungano halijavunjwa na hatua hiyo inapisha mchakato wa shughuli za uchaguzi mkuu ili kupata wawakilishi wapya watakao chaguliwa na wananchi.

Akizungumza mara baada ya maridhiano hayo, aliyekuwa Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mhe. Sambili Mohamedi amewashukuru madiwani wenzie kwa uwakilishi wao nzuri kwa kuwa baraza hilo lilifanya kazi kwa kauli moja bila kujali utofauti wao wa uwakilishi wa vyama uliokuwepo kwenye baraza hilo.

Kwa upande mwingine Mhe. Sambili amepongeza ushirikiano walioupata kutoka kwa watendaji wa serikali kuanzia kwa Mkuu wa wilaya, Mkurugenzi, Wakuu wa idara na watumishi wote kwa kipindi chote cha baraza hilo na kuwataka kuendelea na umoja huo hata kwa wale watakaokuja ili kufanikisha mipango ya serikali ya kuwafikishia wananchi maendeleo.

Naye Mkuu wa wilaya Bi. Aziza Mangosongo amesema mshikamano na umoja ulioonyeshwa na baraza hilo ndio uwakilishi wa kweli kwa kuwa umewezesha kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ufanisi, wamesimamia matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo vizuri hivyo wananstahili pongeza.

Baadhi ya Madiwani waliozungumza katika kikao hicho wameishukuru menejimenti ya halmshauri na baraza lote kwa ushirikiano wao hatua ambayo imewapa uzoefu wa uwakilishi kwa kuwa baadhi yao walikuwa ni wachanga katika uwakilishi wa wananchi hivyo wamejifunza mengi katika kuutumikia umma.



Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa