• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Baraza la Madiwani laridhia maboresho ya sheria ndogo ya uingizaji mifugo na samaki Newala Mji

Posted on: January 31st, 2020

Baraza la madiwani halmashauri ya Mji Newala limeridhiria maboresho ya mabadiliko ya sheria ndogo ya tozo ya uingizaji wa mifugo na samaki ndani ya halamshauri hiyo kwa kuongeza ushuru wenye lengo la kuboresha huduma.

Hatua hiyo imefikiwa katika Mkutano wa siku ya kwanza wa baraza la madiwani la robo ya pili Oktoba – Disemba 2019/2020 lililoketi jana Alhamisi Januari 30, 2020, ambapo kwa pamoja baraza limeridhia mabadiliko ya sheria ndogo ya Hifadhi mazingira No.3(2)(C) ya Mwaka 2019 ya halmashauri hiyo kifungu cha 4(1) kwa kuongeza sehemu ya 14 kuhusu kutoza ushuru.

Tozo ambazo zimependekezwa na kuidhinishwa na madiwani hao ni kuingiza ng’ombe 1 gharama ni Tsh. 1,500/=, Mbuzi Tsh. 500, Kondoo Tsh. 500, Samaki tenga/boksi dogo Tsh. 500/=, Samaki tenga/boksi la kati Tsh. 1,000/= na Samaki tenga/boksi kubwa ni Tsh. 2,000/=

Akizungumzia hatua hiyo mwenyekiti wa halmashauri Mhe. Sambili Mohamedi, amesema lengo la mabadiliko hayo pamoja na kuboresha huduma lakini pia imelenga kuziba mianya iliyopo ya kupoteza mapato ya halmashauri kwa kuwa awali hakukuwa miongozo ya kisheria katika maeneo hayo.

Aidha kwa upande wake Mkuu wa wialaya Newala Bi. Aziza Mangosongo amewataka madiwani na wananchi kwa ujumla kuwa mstari mbele katika kupiga vita vitendo vya ngono kwa wanafunzi kwani hali ni mbaya hasa kwa watoto waliopo shuleni kuelekea kupoteza ndogo zao.

Mkuu wa wilaya amesema hali hiyo inakua mbaya zaidi kwa kuwa inachangiwa na wazazi wenyewe kwani wengi wanajua kinachoendelea kwa watoto wao lakini hawachukui hatua yoyote na hata pale inapojitokeza watoto wao wamepewa ujauzito hawapo tayari kuwafichua waalifu jambo ambalo kupigwa vita ili kuwalinda watoto.



Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa