• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

DC KUNYA AITAKA JAMII IWAANDALIE WAZEE MAZINGIRA BORA ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI

Posted on: September 5th, 2025

Mkuu wa wilaya Newala Alhaj. Mwangi Kundya imetaka jamii kuwaandalia wazee mazingira rafiki yatakayowawezesha kujikita katika shughuli za kiuchumi zitakazowasaidia kuwapunguzia kuwa na utegemezi na kulinda afya zao.

Ameyasema hayo mjini Newala wakati anafungua kikao cha siku mbili cha baraza la wazee la mkoa wa Mtwara kichofanyika katika ukumbi wa chuo cha uuguzi na ukunga Newala na kueleza kuwa kwa sasa wazee hawapewi kipaumbele cha kujikwamua kiuchumi.

“Imefika mahala hata wazee wameanza kudai mikopo ya wazee, fikra inayokuja haraka kwamba tutawafunga wazee wetu bure watashindwa kulipa, lakini hakuna ubishi hata kidogo wa umuhimu wa wazee kujikita katika shughuli mbalimbali za uzalishaji mali kama kilimo au biashara ili kupunguza ukali wa maisha ya utegemezi”.

Aidha Mkuu wa wilaya ameongeza kufafanua kuwa, wazee wanapojishughulisha katika kazi mbalimbali ni hatua muhimu kwao inayosaidia kuimarisha afya zao kwa kuwa zingine ni sehemu ya mazoezi ya mwili.

Kwa upande wake makamo mwenyekiti wa baraza hilo na mwenyekiti wa baraza la wazee manispaa ya Mtwara Mikindani Bi. Sesilia Herio amesema ili kwenda sawa na kaulimbiu yao ya “Uzee wa Kuchakaa Haukubaliki” wazee wanahitaji kufanyakazi.

“Nasisi wazee tupo kwenye kundi maalum lakini tunaachwa kwamba anae mtoto hii sii sawa, uzee umetofautiana, mtu ukiwa miaka 70 hadi 80 mwingine unakuwa na nguvu ya kufanyakitu wewe mwenyewe na ndio mana tunaomba mikopo”.

Hata hivyo afisa ustawi wa jamii kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mtwara Bi. Teresia Ngonyani ameisisitiza jamii kuwathamini, kuwaheshimu, kuwalinda na kuwatunza wazee na kuyafanyia kazi maoni yao “usije ukamuona mtu wa zamani, muhimu kuwasikiliza maana anaweza akakupa angalizo na lile angalizo likakusaidia kule unako elekea”.

Mabaraza ya wazee yapo kisheria chini ya sera ya taifa ya wazee ya mwaka 2003, kwa lengo la kuwa na sauti moja ya wazee, kusaidia katika kutoa maamuzi pamoja na ushauri utakaosaidia kulijenga taifa katika maadili mema na jamii kuzitambua tunu za taifa.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA UDEREVA September 01, 2025
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI NNAUYE AWASHUKURU JHPIEGO KWA KUSHIKISHA JAMII ELIMU YA SARATANI YA MATITI

    September 11, 2025
  • WATAHINIWA 2516 HALMASHAURI YA MJI NEWALA KUHITIMU DARASA LA SABA 2025

    September 08, 2025
  • DC KUNYA AITAKA JAMII IWAANDALIE WAZEE MAZINGIRA BORA ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI

    September 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA NEWALA AWATAKA WAZEE WA MKOA WA MTWARA KUSAIDIA KUIMARISHA MAADILI YA VIJANA

    September 04, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa