Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Dkt. Magembe amesema serikali ipo kwenye maandalizi ya mfumo wa kupima watumishi wanaojitolea

Posted on: July 27th, 2022

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) anayeshughulikia Afya Dkt. Grace Magembe amesema serikali  ipo kwenye maandalizi ya mfumo wa kupima watumishi wanaojitolea ndani ya taasisi za umma ili kuweza kutathmini uwezo wa utendaji kazi.

Dkt. Magembe ameyasema hayo leo Jumatano Julai 27, 2022 mjini Newala akiwa kwenye ziara yake ya kikazi mkoani Mtwara kufuatia ombi la mkuu wa wilaya ya Newala Mhe. Rajabu Kundya ayeiomba wizara kutoa kipaumbele kwa watumishi wanaojitolea kwenye kada ya afya serikali hasa katika mikoa ya pembezoni mwa Nchi.

Mhe. Kundya akiwa ofisini kwake amemueleza Naibu Katibu Mkuu huyo kuwa wapo watu wanajitolea kwa muda mrefu na kufanyakazi kwa uaminifu lakini ajira zinapotoka hawapewi kipaumbele kitu ambacho kinavunja moyo na wakati mwingine wanaopata ajira wanafanya jitihada za kuhama kwa kutokubalina na mazingira.

Dkt. Magembe imekiri uwepo wa changamoto hiyo na kueleza kwamba serikali imelibaini tatizo hilo na tayari imeshaanzisha mchakato wa kuweka mfumo wa kielektroniki utakaowezesha kuwapima ili iwe rahisi kujua uwezo wao kitu ambacho kwasasa hakipo na inamlazimu mtumishi anaejitolea kutumia namba ya utambuzi ya mtumishi aliyeajiriwa kufanyakazi zake.

Hata hivyo amewakata wakurugenzi kuweka utaratibu wa kuwatambua watumishi hao na kupima utendaji wao kazi wa kila siku kupitia mfumo rahisi utakaowezesha kutambua taarifa zao hata inapotokea nafasi za ajira iwe rahisi kupata vielelezo, kwa kuwa watumishi hao ni muhimu kwa kuzingatia hiari yao kufanya kazi wakiwa hawana ajira rasmi.

Naibu Katibu Mkuu yupo mkoani Mtwara katika ziara yake ya kikazi kutembelea halamshauri zote za mkoa huu kuona utekelezaji wa shughuli mbalimbali kwenye kada ya Afya na wilayani Newala ametembelea mradi wa ujenzi Kituo cha afya Nambunga kuona hatua za utekelezaji mradi huo.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa