• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Fedha za mfuko wa jimbo zimelenga kusaidia miradi ya wananchi iliyoanzishwa

Posted on: July 17th, 2022

Jamii imetakiwa kutambua kuwa fedha za mfuko wa jimbo ni zipo kwa lengo la kusaidia miradi ya wananchi iliyoanzishwa kwa manufaa ya Taifa ili iweze kukamilika na haipo kwa ajili ya kutekeleza miradi mipya.

Hayo yameelezwa jana Jumamosi July 16 2022, na Mbunge wa jimbo la Newala Mjini ambaye pia ni Waziri Ofisi ya Rais Kazi Maalum Mh. George Mkuchika, wakati anatoa ufafanuzi wa swali la mjumbe wa kikao maalum cha kamati ya jimbo la Newala mjini cha kuwasilisha utekezaji wa ilani kuanzia Januari hadi Juni 2022, aliyehoji fedha za mfuko huo zinakutekeleza miradi ya wananchi.

Katibu wa CCM kata ya Mahumbika Bw. Ally Mbolele akihoji swali hilo alitaka kujua kwanini fedha za mfuko wa jimbo azifanyi utekelezaji  wa miradi katika kata yake na badala yake anasikia kwenye maeneo mengine zikiwanufanisha wananchi.

Akijibu swali hilo Mhe. Mkuchika amesema mfuko huo katika kuanzishwa kwake ulilenga kuchochea maendeleo ya jimbo kwenye miradi iliyoanzishwa na nwananchi wenyewe ambapo wananchi wanatakiwa kuanadika barua ya kuomba kamati isaidie katika hatua ya utekelezaji wa mradi husika.

Aidha ameitaka jamii kutambua kuwa mfuko huo ni kwa ajili ya jimbo lote na hauwezi kuvifikia vijiji vyote ndani ya mwaka mmoja badala yake kamati baada ya kupokea maombi inaangalia baadhi ya maeneo yenye vipaumbele kwa wakatai huo.

Hata hivyo amefafanua kuwa kamati  haina jukumu la kuidhisha fedha za mfuko kutekeleza mradi wote bali ni kuunga mkono kwa sehemu fulani na kamati imejitahidi kutenda haki na kwa uwazi, “fedha za mfuko wa jimbo hiendi kutekeleza mradi, inaenda kusaidia mradi ambao tayari umeanza, ule ni mfuko unaita wakuchochea, kakuchochea maendeleo ya jimbo”. Alieleza.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa