• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

HALMASHAURI YA MJI NEWALA YATEKELEZA MPANGO WA SHULE SALAMA

Posted on: October 6th, 2025

Kaimu Mkuu wa idara ya elimu sekondari Halmashauri ya Mji Newala Mwl. Innocent Kerenge amewataka wazazi kuondoa vikwazo na viashiria vya mapito salama kwa wanafunzi kwa lengo la kusaidia upatikanaji wa elimu bora na salama.

Mwl. Kerenge amesema kuwa mpango wa shule salama unatekelezwa katika shule zote 16 za sekondari chini ya mradi wa Sequip na umekuwa na matokeo mazuri hivyo amewataka wazazi kuunga mkono mpango huo.

“Hadi leo tarehe 6 oktoba 2025 tunapoongea mpango huu unatakelezwa katika shule zetu zote hivyo rai yangu kwa wazazi ni kuhakikisha wanaondoa viashiria vya mapito salama, wanafunzi wengine wanapita kwenye vijiwe vya bodaboda, wavuta bangi, misitu hii inahatarisha usalama wao”

Mwalimu wa unasihi katika shule ya sekondari Nambunga Elfrida Kabengua amefafanua kuwa mpango huo umekua na matokeo mazuri kwa kuleta ushirikiano wa pamoja baina ya wanafunzi, walimu, na wazazi.

“Wanafunzi sasa wapo huru wanatoa mawazo yao, wanatoa dukuduku zao lakini pia wanafunzi sasa hivi hawashindi njaa tena na imewafanya wanafunzi wasiwe watoro kwa kuwa chakula kinapatikana shuleni”

Aidha Mwalimu mlezi wa klabu ya shule salama katika shule ya sekondari Mtangalanga Maftaha Seif ameisisitiza jamii kuwa na ushirikiano na walimu katika kuzipatia ufumbuzi changamoto mbalimbali zinazowakabili wanafunzi.

Katibu wa klabu ya wanafunzi ya shule salama  sekondari ya Mtangalanga  Nuria Shazi ameeleza  mpango huo umewasaidia kujenga ujasiri, kujiamini na kuwa wepesi wa kuelezea changamoto mbalimbali zinazozawakabili.

“Kwahiyo kupitia hii klabu imetusaidia sisi wasichana kujiamini pia kujieleza bila wasiwasi kuna tabia ya wasichana kuwa na aibu tunashindwa kueleza shida zetu ila kupitia hili dawati tunaweza kueleza changamoto zetu”

Ibrahimu Mustafa na Tariq Chigogo wameeleza kuwa mpango wa shule salama umerahisisha kutengeneza mawasiliano mazuri na walimu wa nasihi ambao wamewachagua kuwafikishia changamoto zao na kupatiwa ufumbuzi kwa urahisi.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA October 03, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA UDEREVA September 01, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA MJI NEWALA YATEKELEZA MPANGO WA SHULE SALAMA

    October 06, 2025
  • MKURUGENZI NNAUYE AWASHUKURU JHPIEGO KWA KUSHIKISHA JAMII ELIMU YA SARATANI YA MATITI

    September 11, 2025
  • WATAHINIWA 2516 HALMASHAURI YA MJI NEWALA KUHITIMU DARASA LA SABA 2025

    September 08, 2025
  • DC KUNYA AITAKA JAMII IWAANDALIE WAZEE MAZINGIRA BORA ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI

    September 05, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa