• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Kamati ya Kudhibiti UKIMWI imejipanga kutoa elimu kwa wanafunzi mashuleni

Posted on: July 25th, 2023

Kamati ya kudhibiti UKIMWI ya Halmashauri ya Mji Newala kwa kushirikiana na wataalam wa idara ya afya imeeleza kuwa imejipanga kutoa elimu kwa wanafunzi mashuleni ili kuwaokoa na ongozeko la wahanga wa maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi.

Mpango huo umeelezwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Hamisi Namata Makamu mwenyekiti wa Halmashauri na diwani wa Kata ya Mtonya Jumatatu Julai 24, 2023 wakati wa kikao cha kupokea taarifa ya utekelezaji wa kamati robo ya nne 2022/2023 ambapo amaesema kamati aimebaini wanafunzi wa shule za sekondari na msingi baadhi yao wameshaanza kujihusisha na ngono wakiwa shuleni.

Namata amesema hali yakuonesha wanafunzi wanajihusisha na ngono inaleta hatari kwa kizazi cha kesho hivyo ni lazima elimu kutoka kwa wataalam iwafikie mapema waweze kutimiza ndoto zao kwa kujiepusha na mimba za utotoni pamoja na magonjwa ya zinaa.

“Kama halmashauri kupitia idara ya afya tumeendelea kujipanga kutoa elimu kwenye redio, na tumezihusia asasi zote tunazoshirikiana nazo wajipange waandae ratiba waende mpaka mashuleni kuongea na wanafunzi sisi ajenda yetu ni kutoa elimu kwa jamii”. Aliieleza Mhe. Namata.

Aidha amesema lazima

Kwa uapande wake kaimu Mratibu wa Udhibiti maambukizi ya virusi vya Ukimwi Halmashauri ya Mji Newala Bi. Regina Likwama amezishukuru asasi zinazojihusisha na mapambano ya kudhibiti ukimwi ndani ya halmashauri kwa kuwa zimekuwa msaada mkubwa katika kuifikia jamii.

Hata hivyo Likwama ameitaka jamii kuzipa ushirikiano asasi hizo zinazosamba vitepe ya kupimia kwa kuwa zinatambuliwa na pia kuacha tabia ya kukimbia kupokea majibu yao baada ya kupima kwa kuwa yana faida kwa aliyepata  maambukizi na asiyepata.

“Nawasahuri watu kwanza kujitokeza kupima kama hivo hizo asasi zinasambaza vitepe wapimeee.. na wale wanaobainika kuwa na virusi vya ukimwi waanze dawa mapema ili wasiweze kuambika wengine”. Alisisitiza kaimu mratibu huyo

Akiongea mwakilishi wa asasi hizo kutoka asasi ya COME amesema wao wanatoa vipimo vya viashiria hivyo ni muhimu kukawa na ufuatilaji wa ukaribu wa watu wanaopimwa na kukutwa viashiria ili wapate vipimo kamili vitakavyo toa uhakika na kuanza kupata matibabu.

Kamati ya kudhibiti Ukimwi halmashauri ya Mji Newala mpaka sasa anashirikiana na asasi tano katika kukabiliana na maambukishi na kuwahudumia watu wanaoishi na virusi vya ukimwi asasi ya COME, asasi ya KONGA, asasi ya WAZEE, asasi ya VIJANA pamoja na asasi ya WALEMAVU.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa