• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Kamati ya Kudhibiti UKIMWI yataka kasi vita dhidi ya maambukizi mapya

Posted on: April 21st, 2023

Kamati ya Kudhibiti UKIMWI Halmashauri ya mji Newala imeitaka jamii kuongeza kasi ya mapambano ya vita dhidi ya maradhi hayo na kupunguza maambukizi yake kwa kupinga vitendo vya usagaji na ushoga hasa kwa wanafunzi na watoto.

Akiongea wakati anafunga kikao cha Kamati hiyo cha robo ya tatu 2022/2023 kilichofanyika Alhamisi Aprili 19, 2023 Mwenyekiti wa kamati hiyo Mheshimiwa Hamisi Namata amesemani wakati wa jamii kuboresha malezi ya watoto kwa kukemea vitendo hivyo.

Aidha Mhe. Namata ameongeza kuwa hakuna Taifa madhubuti la kesho kama hakuna malezi bora ya watoto “Tunaiomba jamii iwe sehemu ya walimu, jamii iwe sehemu ya wachunga, jamii iwe sehemu ya malezi hawa ni watoto wetu wakiharibika tunahiaribu jamii ya kesho, maana miongoni mwao ndtio tunatarajia tutapata viongozi, miongoni mwao tunategemea tutapata watumishi, Mashekhe, tutapata mapadre, tutawapata watu wa kila aina ambao leo hii wapo kwenye jamii wanatuongoza”.

Kwa upande wake mjumbe wa kamati hiyo Mkaguzi Msaidizi wa Polisi kutoka dawati la Jinsia Newala Tumaini Ngwanda amesema jamii ni lazima ichukue hatua zamaksudi kutoa elimu kwa wanafunzi wa shule za sekondari na msingi kwa kuwa wao ni wahanga wa kwanza wa vitendo hivyo.

Aidha Ngwanda ameongeza kuwa wapo baadhi ya vijana waliopo shuleni wameibua tabia ya kutaka kufanya mapenzi ya jinsia moja na watu wanaobainika au kuhisiwa kuwa na tabia hizo ambao baadhi yao tayari wamesha athirika na virusi vya UKIMWI.

“Wapo baadhi ya watu ambao tumewabaini kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja na waneleza wazi kuwa wapo wanafunzi wa sekondari wanaowafuata wakitaka kufanya nao mapenzi ya jinsia moja pasipo kujua wao tayari wana VVU, kwa kweli tuwe macho Taifa la kesho kupitia watoto wetu litaangamia”. Alieleza Ngwanda

Mussa Mnuvi mwakilishi kutoka chama cha watu wenye walemavu Newala ameiomba kamati hiyo wataalam wa Afya kuwafikia walemavu kuwapa elimu ya kujikinga namaambukizi kwa kuwa kundi hilo halizingatiwi lakini maambukizi hayachagui kundi Fulani la watu.

Kikao cha kamati ya kudhibiti UKIMWI kiliketi kujadili shughuli mbalimbali zilizotekelezwa kwa kipindi cha kuanzia mwezi Januari hadi Machi 20233.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa