• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Kamati ya lishe yaweka mkakati wa kutoa elimu kwa wananchi kukabiliana na udumavu

Posted on: April 14th, 2020

Kamati ya Lishe ya halmashauri ya mji Newala imeweka mkakati wa kuwafikia wananchi katika maeneo na kuwapa elimu ya lishe ili kukabailiana na tatizo la udumavu kwa watoto wa chini ya miaka mitano hali ambayo hairidhishi kwa ustawi wa watoto.

Mkakati huo umewekwa wakati wa kikao cha kamati hiyo cha robo ya tatu kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kilichofanyika Aprili 14, 2020, ambapo Ofisa lishe wa halmashauri hiyo Enos Kuzenza amesema tatizo la udumavu limefikia asilimia 31.8.

Akizungumza Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mkurugenzi wa halmashauri ndg. Andrew Mgaya amesema katika kukabiliana na tatizo hilo ni lazima kuwe na nguvu ya wataalamu ya kutoa elimu kwa umma juu ya madhara na faida ya lishe bora kwa jamii kwa kwenda vijijini kuzungumza ana kwa ana wananchi.

Aidha ameziagiza idara za Afya, maendeleo ya jamii, kilimo, habari pamoja na utamaduni kuungana na kwenda kuwafikia wananchi katika eneo lote la halmashauri na kuwapa elimu ili kuyafikia malengo ya serikali ya kuondoa utapiamlo na udumavu kwa watoto na kulijenga taifa imara la baadae.

Katika taarifa ya lishe iliyowasilishwa na Afisa lishe imeonyesha halmashauri imefanikiwa katika utoaji wa vidonge vya madini chuma na asidi ya foliki (FEFO) kwa wajawazito 2141 sawa na asilimia 81 kati ya wajawazito 2658 walotarajiwa kupata vidonge hivyo.

Aidha jitihada za udhibiti wa chunvi yenye madini joto zimekuwa na mafanikio kwa kuwa halamashauri imetoa na mafunzo kwa maafisa watendaji ngazi kata na kijiji ya namna ya kuchunguza sampuli za madini joto pamoja na kuwapatia vipimo vya awali vya madini joto kwenye chunvi (Rapid Test Kit RPK) na katika hatua imefanikisha kukamata magari mawili yaliyokuwa yanauza chunvi isiyo na madini joto na kuyatoza faini.

Katika hatua nyingine halmashauri imepanga kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo ili kuongeza nguvu na kuweka kipaumbele katika kuboresha afya ya jamii kwa kubadili mitazamo ya watu juu masuala ya lishe na umuhimu wa jamii kuondokana na utapiamlo pamoja na udumavu.



Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa