• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

MKURUGENZI NNAUYE AWASHUKURU JHPIEGO KWA KUSHIKISHA JAMII ELIMU YA SARATANI YA MATITI

Posted on: September 11th, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Newala Ndg. Geofrey Nnauye ameishukuru taasisi ya binafsi inayojihusisha na mradi wa kukabiliana na saratani ya matiti ya JHPIEGO kwa kufikisha mradi huo katika halmashauri yake.

Mkurugenzi ameyasema hayo Septemba 10, 2025 wakati anafungua semina elekezi kwa viongozi na watoa huduma ya afya ya msingi kuhusu saratani ya matiti wa halmashauri hiyo “tunashukuru sana kwa mapango huu wa kutupa elimu lakini pia kwenda kwenye ngazi za jamii kuelimishana ili tuweze kutokomeza hili jambo”.

Aidha Ndg. Nnauye ameielezea hatua hiyo kuwa ni muhimu katika kupambana na ugonjwa huo hivyo amewaomba washiriki wa semina hiyo bila kujali jinsi yao kwenda kuielimisha jamii.

Kwa upande wake afisa mshauri wa mradi wa saratani ya matiti (Beat Breast Cancer Project) kutoka JHPIEGO Dkt. Rockfella Elisha amesema wagonjwa wengi wanachelewa kupata matibabu huku wengine kutibiwa kwa waganga wa jienyeji na kusababisha kuongezeka kwa tatizo.

“tunachopata shida ni kwamba watu wengi wanakuja wakiwa wamechelewa, na wanakwenda kuhangaika kwa waganga wa kienyeji, wanakuja hospitali wakiwa wamechelewa sana, kikubwa ni kuwaambia huduma zipo hata hapa hospitali ya wilaya ya Newala”.

Afisa anayeratibu afya ya uzazi na mtoto mkoa wa Mtwara Bi. Ashura Ausi umesema ugonjwa huo kwasasa unashika kasi na umekuwa wa pili kwa kusababisha vifo kwa magonjwa ya saratani ukitanguliwa na saratani ya shingo ya kizazi.

Hata hivyo ameeleza kuwa mkoa umeona vema uongeze wigo wa mafunzo yasiishie kwa watumishi wa afya bali wahusishe jamii yote kwa lengo la kufanikisha na kurahisisha njia ya utoaji elimu.

Mratibu wa elimu ya afya kwa umma wa mafunzo hayo ambaye ni afisa afya kutoka halmashauri ya Mji Newala Bi. Beatrice Mahiri amesema halamshauri kwasasa ina madaktari na wauguzi wanatoa huduma za uchunguzi wa awali.

Mradi huu wa saratani ya matiti (Beat Breast Cancer Project) mkoani Mtwara unafadhiliwa na Pfizer Foundation chini ya umamizi wa JHPIEGO wakishirikiana na wizara ya afya na wizara ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa ufadhili wa miaka mitatu Januari 2025 mpaka Disemba 2027.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA UDEREVA September 01, 2025
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI NNAUYE AWASHUKURU JHPIEGO KWA KUSHIKISHA JAMII ELIMU YA SARATANI YA MATITI

    September 11, 2025
  • WATAHINIWA 2516 HALMASHAURI YA MJI NEWALA KUHITIMU DARASA LA SABA 2025

    September 08, 2025
  • DC KUNYA AITAKA JAMII IWAANDALIE WAZEE MAZINGIRA BORA ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI

    September 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA NEWALA AWATAKA WAZEE WA MKOA WA MTWARA KUSAIDIA KUIMARISHA MAADILI YA VIJANA

    September 04, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa