• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mkuu wa Idara Elimu Sekondari amesema siri ya ufulu kidato cha sita ni ushirikiano na ufuatiliaji

Posted on: July 17th, 2023

Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari Halmashauri ya Mji Newala Mwl. Athuman Salum amebainisha kuwa mafanikio ya ufaulu nzuri kwa matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023 umetokana na mbinu ya kufuatilia ufundishaji wa kila siku.

Ameyazungumza hayo ofisini kwake kufuatia matokeo ya wanafunzi wa kidato cha sita ya shule ya sekondari ya wasichana Nangwanda pamoja na Kiuta ambazo zimefaulisha kwa daraja la kwanza na la pili na mwanafunzi mmoja pekee amapata daraja la tatu.

Mwl. Salum amesema matokeo hayo yamewatia nguvu ya kuongeza usimamizi wa ufundishaji kwa kuwa mbinu hiyo ndio iliyoleta matokeo ambayo inamtaka mwalimu kutoa taarifa ya mada alizofundisha kila siku na changamoto alizokutana nazo.

Aidha kwa namna ya pekee amewashukuru walimu kwa utayari waliouonesha wa kupokea mbinu hiyo ambayo amesema anatarajia italeta matokeo mazuri hata katika mtihani wa kidato cha nne wa mwaka huu.

“Matokeo haya hayatokea hivihivi ni kwa juhudi ya halmashauri kupitia idara yetu ya elimu sekondari, tuna program yetu moja yakuhakikisha kilasiku saa 10:00 jioni kunapata ratiba ya shule na vipindi vyote vilivyofundishwa na majina ya walimu waliofundisha kama hajafundisha mimi mwenyewe napiga simu nijue kwanini hajafundisha” Alifafanua Mwl. Salum.

Hata hivyo amesema ipo timu ya uthibiti ubora ya shule ambayo kila Ijumaa inatoa taarifa ya walimu walio wakagua na chanagamoto zilioonekana na mikakati yakukabiliana nazo sambamba na utoaji motisha kwa walimu.

Katika hatua nyingine amewakaribisha wananfunzi wapya wa kidato cha tano wanaotarajia kuanza katika shule mpya za wavulana za Nambunga High School na Malocho High School ambazo zote ni za wavulana na zitakua za mchepuo wa sayansi.

Halmashauri ya Mji Newala ilikuwa na shule mbili za kidato cha tano na sita zote zilikuwa za wasichana na mchepuo wa sanaa na sasa zitaongezeka na kuwa shule nne.



Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa