• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Abbas amesema ruzuku ya pembejeo ya zao la korosho ni mchango wa serikali kwa wakulima

Posted on: May 4th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas amewataka wananchi kutambua kwamba, ruzuku ya pembejeo ya zao la korosho  inayototelewa na Serikali ni mchango wake katika kumpunguzia mkulima gharama ya uzalishaji wa zao hilo.

Ameyazungumza hayo Jumatano Aprili 03, 2023 katika uzinduzi wa usambazaji na ugawaji pembejeo za korosho kwa msimu wa 2023/24 uliofanyika mkoani Mtwara kwa ajili ya kusambazwa kwa wakulima wa zao hilo kwenye maeneo mbalimbali yanayolima korosho Nchini.

Aidha Kanali Abbas amesema serikali inachangia kwa sehemu lengo ni kumpunguzia mkulima gharama za uzalishaji hivyo ni muhimu kwa kila mkulima kujiwekea akiba ya fedha kwa ajili ya kuongezea ununua wa viuatilifu sokoni ili aweze kutosheleza mahitaji yake.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Mkurugenzi wa Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) Francis Alfred amesema kwa msimu wa mwaka huu wamejiwekea lengo la kuangiza tani 49 elfu za Salfa ya unga, viuatilifu vya maji lita Milioni tatu laki moja na elfu thelathini  na tisa pamoja na mabomba elfu tano mia mbili.

Hata hivyo Alfred alisema kuwa, “kwa takwimu za mahitaji tuliyonayo ni kwa kwamba viuatilifu hivi ni vingi kuliko mahitaji ambapo kwa wastani wa mahitaji ya salfa kwa takwimu walizokuwa nazo ni kati ya tani  30,000 mpaka tani 35,000 pia ‘’Lengo letu tunataka tujiridhishe katika suala la ubora wa pembejeo kabla ya kusambazwa kwa wakulima  na tunaanza kujiridhisha kwa kugawa kwenye maeneo ambayo mikorosho inaanza kuchipua na zitagawiwa kwa wakulima waliyosajiliwa tu ndiyo watakaopewa pembejeo’’.

Aidha, mpaka sasa tayari Tani 8000 za salfa ya unga zimeshawasili Nchini na ambazo zimepokelewa katika ghala la kuhifazia pembejeo la Bodi ya Korosho mkoani humo ni tani 3600, salfa ya unga viuatilifu vya maji lita Milioni moja vilivyopokelewa ni lita laki nane thelathini na sita mia tisa pamoja na mabomba elfu tano.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Brigedia Jenerali Mstaafu Aloyce Mwanjile amesisitiza suala la usimamizi wa ugawaji lifanyike na kila mdau ili wale ambao wana dhamira ya kuharibu utaratibu wa ugawaji wa pembejeo hizo waweze kushughulikiwa kwa mujibu wa Sheria.

Mmoja wa wakulima wa zao la Korosho mkoani Mtwara Bi. Moza Salumu amesema wanaishukuru Serikali kwa kuweka ruzuku kwenye pembejeo kwa kuwa itasaidia kuongeza uzalishaji kutokana na gharama za pembejeo ni kubwa ukilinganisha na mahitaji ya wakulima.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa