• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

MKUU WA WILAYA NEWALA AWATAKA WAZEE WA MKOA WA MTWARA KUSAIDIA KUIMARISHA MAADILI YA VIJANA

Posted on: September 4th, 2025

Mkuu wa wilaya ya newala Alhaji Mwangi Kundya amesema yapo matukio mengi ya mmomonyoko wa maadili kwa vijana yanayoendelea hivi sasa yanayotokana na ukosefu wa malezi bora.

Hayo ameyaeleza katika kikao cha baraza la wazee mkoa mtwara lililofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa chuo cha uuguzi na ukunga Newala lililowakutanisha viongozi wa halmashauri 9 wa mabaraza ya wazee ya mkoa huo.

Akifungua mkutano huo akiwa mgeni Mhe. Kundya amesema wazee wanajukumu la kusimamia malezi bora ya vijana ili kupata kizazi salama kwa maslahi ya Taifa.

“mmomonyoko wa maadili katika jamii kwa vijana na watoto umekuwa ni mkubwa, kiasi cha kulazimika kurudi kwa wazee kuuliza njia. Nyinyi mnaojua njia mtusaidie kujua njia iko wapi?

 

Mwenyekiti wa baraza hilo mkoani Mtwara Bw. Rashid Kapela ameiomba jamii kuwatambua na kuwatumia wazee katika kutoa mchango wao wa kulisaidia taifa kwenye msingi wa ushauri na kuimarisha maadili.

“Kwahiyo niwaombe nyinyi viongozi mkikuta Kundi la wazee mjue ni hazina na tunu ya taifa, kwahiyo wanashatili kupendwa, kuheshimiwa maana yake usipomuheshimu mzee na wewe baadae hauta heshimiwa”.

Kwa upande wake Katibu wa baraza la wazee Mkoa wa Mtwara Bw. Seifu Chilumba amebainisha kuwa vikao hivyo vinajadili juu ya ustawi wa wazee katika nyanja mbalimbali ikiwemo afya, uchumi pamoja na mchango wa wazee katika jamii.

Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho akiwemo mwenyekiti wa baraza hilo halmashauri ya Mji Newala Bw. Omari Chang'anganya wamesema chanzo cha mmomonyoko wa maadili ni utandawazi kupitia mitandao ya jamii.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA UDEREVA September 01, 2025
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI NNAUYE AWASHUKURU JHPIEGO KWA KUSHIKISHA JAMII ELIMU YA SARATANI YA MATITI

    September 11, 2025
  • WATAHINIWA 2516 HALMASHAURI YA MJI NEWALA KUHITIMU DARASA LA SABA 2025

    September 08, 2025
  • DC KUNYA AITAKA JAMII IWAANDALIE WAZEE MAZINGIRA BORA ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI

    September 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA NEWALA AWATAKA WAZEE WA MKOA WA MTWARA KUSAIDIA KUIMARISHA MAADILI YA VIJANA

    September 04, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa