Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Serikali wilayani Newala kuunga mkono jitihada za kumkomboa mwanamke na kuondoa unyanyasaji wa kijinsia

Posted on: March 8th, 2019

Serikali wilayani Newala imesema itaendelea kuunga mkono jitihada za kumkomboa mwanamke kwa kutekeleza sera ya wanawake na jinsia ya mwaka 2000 inayolenga uwepo wa usawa kwa wanawake na wanaume katika nyanja zote na kuondoa unyanyasaji kwa wanawake.

Hayo yameelezwa leo Ijumaa 08th March, 2019 na Katibu Tawala (DAS) wa wilaya ya Newala Bw. Danieli Zenda ambaye alikuwa mgeni rasmi kwa niaba ya mkuu wa wilaya hiyo kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya Mwanamke duniani iliyofanyika katika viwanja vya Ofisi ya Kata Kitangali wilayani humo.

Zenda amesema unyanyasaji wowote wa kijinsia kwa wanawake haukubaliki katika jamii ya watanzania “na kwamba mwanamke sasa anahitaji kupata elimu sawa na mwanaume anahitaji kupata ajira sawa na mwanaume na ipo dhana iliyojengeka eti labda mwanamke awezi kufanya kazi fulani kama bodaboda na kazi zingine kama hizo lakini hiyo si sawa kwani hata hapa yupo dereva bodaboda mwanamke” alisema.

Aidha kupitia kauli mbiu ya mwaka huu ya maadhimisho hayo inayosema “Badili fikra kufikia usawa wa kijinsia kwa maendeleo Endelevu” Katibu tawala huyo amewata wanaume kuwapa wanawake nafasi ya kuthubutu kufanyia kazi mawazo yao na hiyo ndio njia itakayosaidia kuwa na maendeleo ya pamoja.

Kwa upande wake Ofisa wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) wilayani Newala Bi. Fides Didas amesema wanawake wengi hasa waotafuta ajira na waliopo kazini wanakabiliwa na tatizo la rushwa ya ngono ambayo ni udhalilishaji na kikwazo cha maendeleo ya mwanamke hivyo pale vinapojitokeza ni vema karipotiwa.

Naye Afisa Maendeleo ya Jamii wa halmashauri ya wilaya ya Newala Bi. Christina Kambuga akisoma taarifa ya historia ya maadhimisho hayo amesema lengo lake ni kupinia haki mbalimbali za wanawake na tangu kuanzishwa kwake kumekuwa na mafanikio makubwa kama muamko wanawake kuwania nafasi mbalimbali za uongozi, kushiriki siasa, kupata elimu pamoja na kushiriki katika maamuzi.

Maadhisho hayo wilayani Newala yameadhimishwa kwa kufanya usafi, upandaji miti kwenye kituo cha Afya Kitangali, kuwatembelea na kuwafariji wagonjwa waliolazwa katika kituo hicho kwa kuwapatia zawadi za sabuni, maji na juisi, maandamano yaliyobeba ujumbe wa siku hiyo pamoja na vikundi mbalimbali vya muziki, kwaya, maigizo na ngoma.














Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa