• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

SUMA JKT yakaikabidhi Halmashauri ya mji Newala jengo la utawala

Posted on: February 10th, 2020

Halmashauri ya mji Newala yaishukuru Serikali kwa kuwaboreshea mazingira ya kazi kwa kuwapatia fedha kwa ajili ya kujenga jengo jipya lakisasa la utawala ambalo limeshakamilika tayari kwa kutumika na watumishi wa idara mbalimbali wa halamsahuri hiyo.

Hayo yameelezwa na Mkurugunzi wa halmashauri hiyo Ndg. Andrew Mgaya katika hafla ya kukabidhiwa jengo, iliyofanyika leo Jumatatu tarehe 10/02/2020 katika ukumbi wa ndani wa mikutano wa jengo hilo, ambapo amesema hiyo ni hatua kubwa ya kujivunia kwa kuwa itaongeza chachu ya utendaji kazi kwa  watumishi.

Aidha Mgaya ameishukuru serikali kupitia Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuipatia halmashauri hiyo fedha nyingi za miradi ya maendeleo ikiwa pamoja na fedha zilizojenga jengo hilo shilingi bilioni 2.646, na kufafanua kuwa mambo yote yanajieleza yenyewe kwa matokeo yake.

Hata hivyo amemshukuru mkandarasi SUMA JKT Kanda ya Kusini kwa kuifanya kazi hiyo kwa uaminifu na uvumilivu kwani hata pale zilipojitokeza changamoto mbalimbali bado waliendelea kutekeleza makubaliano kwa kufanya kazi.

Akizungumza wakati anakabidhi funguo kwa mwenyekiti wa halmashauri hiyo, meneja wa SUMA JKT Kanda ya Kusini Meja Atupele Mwamfupe, amesema haikua kazi rahisi kukamilisha kazi hiyo na udongo na mchanga kupatikana mbali na eneo la mradi kwani udongo na mchanga unaopatikana eneo hilo haufai kwa ujenzi wa maghorofa.

Aidha ameziomba taasisi binafsi na za umma pamoja na halmashauri hiyo kuwaamini na kuwapa miradi kama ya maji, majengo, barabara na miundombinu yake na hiyo itakua na faida kubwa kwao kwenye majanga ya dharula na hata kwenye masuala ya ulinzi na usalama.

Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mhe. Sambili Mohamedi baada kuabidhiwa funguo za jengo hilo kama ishara ya makabidhiano rasmi, ameshukuru mkurugenzi, madiwani na watumishi kutobadilisha matumizi ya fedha za zilizotolewa na hatimae kufanikiwa kukamilisha mradi salama na kuielezea hatua hiyo ni kipekee na imetokana na ushirikiano wa pamoja.

Naye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Newala, Jabiri Mtanda hayo ni matokeo ya utekelezaji wa ilani ya chama na ahadi zake kwa wananchi na hilo linatokana na usikivu wa viongozi waliopewa dhamana na chama hicho ukianzia kwa Rais Dkt. John Magufuli mpaka mbunge wa jimbo la Newala Mjini Kapt. George Mkuchika ambaye amekua msaada mkubwa kwa maendeleo ya Newala.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa