• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

Posted on: August 2nd, 2023

Mkuu wa Idara ya Kilimo Halmashauri ya Mji Newala Ndg. Kalistus Komba amesema katika kusherehekea sikukuu wa wakulima (Nanenane) Mwaka huu wamejipanga kutoa elimu na maarifa kwa wananchi yatakayowawezesha kubadilisha mitazamo yao.

Ameyazungumza hayo akiwa kwenye viwanja vya maonesho kanda ya kusini Ngongo-Lindi na kubainisha kuwa, kwa kwaka huu wameandaa teknolojia rahisi ya uzalishaji samaki itakayowawezesha wananchi kwenda kufanya ufugaji mpaka wa samaki 200 katika eneo dogo na hiyo itawanufaisha watu.

Aidha Ndg. Komba ameeeleza kuwa halmashauri imeongeza huduma za elimu kwa kuongeza vipando vya mazao mbalimbali pamoja na kupeleka wajasiriamali 23 ambao wanawezeshwa na halmashauri katika shughuli zao hivyo watasaidia kuwajengea uwezo watu wengine.

Hata hivyo amewata wakulima na wananchi kuyatumia maonesho hayo kwenda kujifunza na kuzijua fursa zingine ambazo ni kama chachu ya kuongeza uzalishaji na kukuza mnyororo wa thamani wa shughuli za kilimo na ufugaji unaokwenda sambamba na masoko ya bidhaa za kilimo.

Mkuu huyo wa idara ya kilimo amesema kwa kuzingatia kaulimbiu ya mwaka huu isemayo “Wanawake na Vijana ni Msingi Imara wa Mifumo Endelevu ya Chakula”, mwaka huu wamepeleka kikundi cha vijana kilichokopeshwa trekta na halmashauri kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji na hiyo inaonyesha ni jinsi gani halmashauri ilishaona umuhimu wa vijana kwenye shughuli za kilimo.

Komba amesma serikali inaamini wanawake na vijana ni nguvu kazi hivyo wahamasike katika kufanya shughuli za kilimo kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi na chakula kwa wao binafsi pamoja na kuyafikia malengo ya serikali.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa