• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

VIKUNDI 39 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU VYAKAGULIWA KWA AJILI YA KUPATA MKOPO

Posted on: February 10th, 2026

Kamati ya mikopo pamoja na timu ya menejimenti ya halmashauri ya Mji Newala wamefanya ukaguzi wa shughuli za vikundi 39 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu vilivyoomba mikopo ikiwa ni hatua ya awali kabla ya utoaji wa mikopo.

Afisa maendeleo ya jamii wa halmashauri hiyo Bi. Joyce Mramba amesema kuwa zoezi hilo ni sehemu ya taratibu za kuhakikisha mikopo inayotolewa inawanufaisha walengwa waliokusudiwa  na kusaidia miradi yenye tija ili walengwa waweze kufanya marejesha kwa wakati.

Aidha Mramba ameeleza kuwa mikopo hiyo hutolewa bila riba kwa vikundi vilivyosajiliwa rasmi na vinavyotekeleza miradi yao kama biashara ndogondogo, kilimo, ufugaji, ubanguaji wa korosho, na shughuli nyingine za uzalishaji kwa lengo la kuwainua kiuchumi.

Baadhi ya wanavikundi waliokaguliwa Bw. Ally Nalola na Bi. Sarah Mlaponi wameeleza kuwa ziara hiyo imewapa fursa ya kupata elimu pamoja na ushauri wa kitaalamu kuhusu uboreshaji wa miradi yao na kwamba wapo tayari kuzingatia masharti ya mikopo yatakayotolewa.

Halmashauri ya Mji Newala inatoa mikopo yake kwa kushirikia na benki ya NMB kwa mwaka wa fedha 2025/2026 imepanga kukopesha shilingi milioni 230 ambapo mpaka sasa imeshatoa mkopo wa shilingi milioni 59.2 katika awamu ya kwanza na sasa anatarajia kutoa mkopo wa awamu ya pili.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA October 03, 2025
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO WASIMAMIZI, WASIMAMIZI WASAIDIZI NA MAKARANI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA. October 21, 2025
  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 39 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU VYAKAGULIWA KWA AJILI YA KUPATA MKOPO

    February 10, 2026
  • HALMASHAURI YA MJI NEWALA YATEKELEZA MPANGO WA SHULE SALAMA

    October 06, 2025
  • MKURUGENZI NNAUYE AWASHUKURU JHPIEGO KWA KUSHIKISHA JAMII ELIMU YA SARATANI YA MATITI

    September 11, 2025
  • WATAHINIWA 2516 HALMASHAURI YA MJI NEWALA KUHITIMU DARASA LA SABA 2025

    September 08, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa