• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Viongozi Newala wametakiwa kutoa elimu ya kujikinga na UVIKO-19

Posted on: October 4th, 2021

Viongozi wa serikali, siasa, dini na Taasisi zingine za kijamii wilayani Newala wametakiwa kuhakikisha wanasaidia kutoa elimu ya chanjo ya uviko 19 kwa wananchi wanaowaongoza ili kuwalinda na madhara ya ugonjwa wa korona yanayoweza kusababisha kifo.

Wito huo umetolewa leo Jumatatu Octoba 04, 2021 na mkuu wa Wilaya ya Newala Mhe. Alhaj Rajabu Kundya wakati wa kikao cha uhamasishaji wa ndani ya jamii kuhusu chanjo hiyo kilichofanyika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji Newala, kikiwahusisha madiwani, watu maarufu, watendaji wa kata na wadau wa maendeleo kwenye jamii wakiwemo watoa tiba asili.

Mhe. Kundya amesema kiongozi bora ni yule anayehakikisha afya za wananchi wake ni salama na kwakufanya hivyo utaweza kutekeleza mipango yako na kuinua maendeleo watu wako na ya taifa kwa ujumla hivyo kila mmoja ahamasishe jamii kupata chanjo kwani huo ndio mtaji salama kotokana na janga la uviko 19.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji Newala Bi Shamim Mwarika ameameitaka jamii kutambua kuwa ugonjwa wa korona upo nani muhimu kuendelea kuchukua tahadhari za kujikinga na maambukizi mapya.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya mji Newala amewaonya watu wanaokwenda kutoa elimu kwa wananchi kuacha kuongea mitazamo yao binafsi badala yake waeleze hali hali kama miongozo ya wizara ya afya inavyoelekeza na sio kuwatisha watu na kuwaogopesha hata waliokuwa tayari kuchanja.

Aidha Mganga mkuu wa Halmashauri ya mji Newala wakati anatoa hali ya ugonjwa ndani ya halmahauri hiyo amebainisha kuwa hali yasasa haidhirishi kwani hospitali ya Wilaya imepokea wagonjwa wengi kuanzia mwezi Julai kipindi ambacho wimbi la tatu la ungonjwa lilianza kuibuka, hivyo mpango wa serikali wakuwapatia chanjo wananchi unapaswa kuitikiwa kwa nguvu kubwa ili kuinusu jamii.

Mmoja wa wananchi waliodhuria kikao hicho Bw. Yasini Chiteha ameomba takwimu na taarifa za wagonjwa wa korona ziwekwe wazi kwa  Mwanainchi ili kila jamii iweze kuelewa na ichuke maamuzi kutokana na hali halisi iliyopo hivi sasa.

Kwa hapa wialayani Newala kampeni ya uchanjaji harakishi kwa watu mwenye umri wa miaka kuanzia 18 linaendelea kwenye vituo vyote vya afya, zahanati na hospitali na litahitimishwa tarehe 14 octoba, 2021.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa