• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Madiwani acheni watendaji watekeleze wajibu wao kwa mujibu wa Sheria

Posted on: January 31st, 2019

Maafisa watendaji wa kata na vijiji wa halmashauri ya Mji Newala mkoani Mtwara wametakiwa kutekeleza wajibu wao wa ukusanyaji  mapato ya halmashauri yaliyopo kisheria bila woga.



Agizo hilo limetolewa jana January 30, 2019 kwenye mkutano wa robo ya pili 2018/2019, wa baraza la Madiwani na Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mheshimiwa Saambili Mohamed ambapo amesema watendaji wanapaswa kuvitambua vyanzo vyote ya mapato kwenye maeneo yao na kuvitoza ushuru.

Aidha Mhe. Saambili amewataka waheshimiwa madiwani kutowawekea vikwazo watendaji hao wakiwa kwenye utekezaji wa majukumu yao kwani jambo hilio litapunguza mapato ya halmashauri ambayo kwa sasa ni madogo kutokana na vyanzo vingi kuchukuliwa na serikali kuu.



Akisoma taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa niaba ya Mwenyekiti, Makamo Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mhe. Othuman Bilali, amesema miradi yenye jumla ya zaidi ya shilingi bilioni nne imeanza kutekelezwa na tayari halmashauri imshapokea zaidi ya shilingi bilioni mbili kutoka serikali kuu na zaidi ya shilingi bilioni moja zimeshatumika katika kutekeleza miradi hiyo.

Akiongea kwenye mkutano huo, Mkuu wa Wilaya ya Newala Mhe. Aziza Mangosongo, ameipongeza halmashauri hiyo kwa kufanya vizuri kwenye matokeo ya darasa la saba (7) 2018, kwa kukamata nafasi ya kwanza kimkoa na kwenye mbio za mwenge mwaka 2018, kuwa ya kwanza (1) kimkoa, ya nne (4) kikanda na ya sita (6) kitaifa na kueleza kuwa  hayo ni matunda ya usimamizi nzuri wa fedha za miradi ya maendeleo.

Katika hatua nyingine, Mkuu wa Wilaya amewataka waheshimiwa madiwani kuwa na taarifa za wakulima wa korosho waliolipwa fedha zao katika maeneo yao, ili kuondokana na dhana potofu kuwa wakulima hawajalipwa kabisa fedha kwani hadi sasa wakuliwa wenye kilo chini ya 1500, wameshalipwa kiasi cha bilioni 47 kati ya bilioni 61 wanazostahili kulipwa wakulima wote wilayani hapa.



Kwa upande wake mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Newala ndugu Jabir Mtanda, amesema wao kama chama kinachosimamia utekelezaji wa ilani wameridhishwa na utendaji wa mkurugenzi wa halmashauri hiyo na wataalamu wake, hivyo ni vyema kuongeza mshikamano ili wananchi wapate maendeleo kusudiwa kwa urahisi.








Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa