• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wananchi wa Newala wametakiwa kuchanja chanjo ya UVIKO-19 kujilkinga na hathari za korona

Posted on: July 27th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Newala Alhaji Rajabu Kundya amewataka wananchi wa Newala kuchanja chanjo ya UVIKO-19 kulinda afya njema zao na kuondokana na madhara mabaya yanayoweza kujitokeza kwa kutochanja ikiwa pamoja na kifo pale unapotokea mlipuko wa maambukizi.

Kundya ameyasema hayo Alhamisi 28/07/2022 kwenye viwanja vya kituo cha mabasi Newala mjini, wakati anaongea na wananchi waliojitokeza kwenye tamasha la kampeni ya Mziki Mnene iliyoandaliwa na Wizara ya afya chini ya usimamizi wa EPIDEMIC CONTOL (FHI 360) na EFM kwa ajili ya kuhamasisha kuchanja na kudhibiti maambukizi.

Amesema watu wenye kujali afya zao duniani kote tayari wameshachanja chanjo ya UVIKO-19 kwa kuzingatia kuwa kumekuwa na mabadiliko ya wimbi la maambukizi ya ugonjwa huo hivyo usalama na njia pekee ya kujiepusha na athari za UVIKO ni kupata chanjo na ndio maana hata viongozi wa serikali kuanzia Rais wetu wa Tanzania Mama Samia Suluhu, mawaziri na viongozi wengine wameshachanja.

“kuchanja.. tuwe na afya njema.. wajanja duniani kote wameshachanja, usipochanja likitokea wimbi la uviko tutakufa kama kuku wenye mdondo.. kuepuka balaa hilo tuchanje, Rais.. Rais Mama Samia Suhulu Hassan amechanja, waziri wa afya amechanja, mimi mkuu wa wilaya nimechanja, wajanja wote wamechanja wewe je.?” amesisitiza Mkuu wa Wilaya.

Akiongea katika tamasha hilo wakatia anamkaribisha mkuu wa wilaya kaimu Mkurugenzi amabaye pia ni Afisa Sheria wa Halmshauri ya Mji Newala Ndg. Deogratius Kaijage amesena halmashauri inahitaji nguvu kazi imara kufanikisha shughuli za maendeleo za kuijenga Newala hivyo kila mmoja anapaswa kujali afya yake kwa kuchukua hatua ya kujikinga na uviko kwa kuchanja.

Naye Mganaga mkuu wa Halmashauri hiyo Dkt. Joseph Fwoma amesema lengo la tamasha hilo linalosimamiwa na Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau EFM na FHI 360, ni kuhamasisha watu kuchanja kwa kuwafikia watu wengi kwa wakati mmoja wapate chanjo, ugonjwa wa Korona upo na una sababisha vifo kwa hasa wasio na kinga na kinga yake ni kupata chanjo ya UVIKO-19.

Kampeni hiyo ya kuhamasisha kuchanja chanjo ya UVIKO-19 ilikwenda sambamba na tamasha hilo limepewa jina la Mziki Mnene na kubeba kauli mbiu ya Ujanja Ni Kuchanja lilijumuisha burudani ya muziki kutoka wasanii maarufu nchini pamoja na waigizaji kama Mkojani, Wema Sepetu, Man Fongo na wengine wengi.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa