• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wasimamizi Wasaidizi halmashauri ya mji Newala wapatiwa mafunzo uchaguzi serikali za mitaa 2019

Posted on: October 5th, 2019

Mkuu wa wilaya Newala mhe. Aziza Mangosongo leo 15/10/2019 amefungua mafunzo ya wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata, Vijiji na Mitaa wa halmashauri ya mji Newala na kuwataka kuwa waadilifu katika utendaji wao wa kazi kama miongozo ya kisheria inavyoelekeza.

Mhe.  Mangosongo amewataka wasimamizi hao wasadizi kutambua dhamana waliyopewa kuwa ni kubwa hivyo vitendo vyovyote watakavyofanya kinyume na taratibu za uchaguzi ni uvunjifu wa sheria hivyo hatua zitachukuliwa kwani kila mmoja ameapa kutii kanuni na taratibu.

Hata hivyo amewasisitiza kujiepusha na mitego ya wanasiasa ambao kwa kipindi kama hiki wamekua wakitafuta urafiki na uswahiba kwa maslahi yao binafsi ya kisisasa na wanaweza kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi na kusababisha dosari mbalimbali hatimae kuitia hasara serikali.

Katika hatua nyingine Mkuu wa wilaya amewakata wananchi wa Newala wenye sifa ya kugombea na kupiga kura kujitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi za uongozi na kujiandikisha katika maeneo wanayoishi sambamba na kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi.

Zoezi la kuandikisha wapiga kura litaanza jumanne tarehe 08/10/2019 na kumalizika tarehe 14/10/2019 ambapo kila mtanzania mwenye umri wa kuanzia 18 na akili timamu atatakiwa kujiandisha kwenye daftari la mpiga kura katika mtaa au kitongoji anachoishi na uchaguzi utafanyika tarehe 24/11/2019.

Picha Zaidi..








Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa