• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

WATAHINIWA 2516 HALMASHAURI YA MJI NEWALA KUHITIMU DARASA LA SABA 2025

Posted on: September 8th, 2025

Afisa elimu ya awali na msingi Halmashauri ya Mji Newala Mwl. Sylivia Mutasingwa amesema watahiniwa 2516 kutoka shule 48 za msingi wanatarajia kufanya mtihani wa taifa wa kuhitimu darasa la saba mwaka 2025.

Mwl. Mutasingwa ameeleza kuwa kati ya watahiniwa hao, 1264 ni wavulana na wasichana 1252 huku shule za mfumo wa kiswahili ni 47 na shule 1 binafsi ni ya kiingereza ambapo kwa ujumla maandalizi yake yamekamilika.

Aidha katika kuhakikisha wanafunzi wanafanya vizuri amewaomba wazazi kushirikiana na walimu kuwandaa watoto kiakili, kuwapatia vifaa na mahitaji ya darasani pamoja na chakula

“walimu wameshafanya kazi ya kuwaandaa wanafunzi kwa ajili ya mtihani na watoto nao wamesema wapo tayari hivyo niwaombe wazazi nao watoe ushirikiano kuwapa hasaha, chakula na vifaa vitakavyotumika wakiwa kwenye mtihani”

Afisa huyo amesema ni matarajio yao kuona wanaongeza ufaulu wa 85% walioupata mwaka jana huku akiwaonya wasimamizi kuepuka kuwasaidia watahiniwa na kuepuka udanganyifu aina yoyote wawaache watoto watumie maarifa waliyopata kujibu mtihani.

Kwa upande wake mwalimu wa taaluma katika shule ya msingi Lindumbe Mwl. Warioba Marwa ameeleza kuwa wamefanya maandalizi mazuri kwa kufanya mitihani ya moko mkoa, wilaya pamoja na mitani ya ndani na ujirani mwema.

Baadhi ya wanafunzi wanaotajia kufanya mtihani huo Shakuu Rashidi pamoja  na Nadia Shaibu wa shule ya msingi Lidumbe wameahidi kufanya vizuri huku wakiwa na matarajio ya kufika mbali kielimu.

Mtihani wa taifa wa darasa la saba kwa mwaka 2025 utafanyika kwa siku mbili, utaanza Jumatano Septemba 10 na kuhitimishwa Alhamisi Septemba 11.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA UDEREVA September 01, 2025
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI NNAUYE AWASHUKURU JHPIEGO KWA KUSHIKISHA JAMII ELIMU YA SARATANI YA MATITI

    September 11, 2025
  • WATAHINIWA 2516 HALMASHAURI YA MJI NEWALA KUHITIMU DARASA LA SABA 2025

    September 08, 2025
  • DC KUNYA AITAKA JAMII IWAANDALIE WAZEE MAZINGIRA BORA ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI

    September 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA NEWALA AWATAKA WAZEE WA MKOA WA MTWARA KUSAIDIA KUIMARISHA MAADILI YA VIJANA

    September 04, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa