• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Watanzania wametakiwa kuunga mkono muungano kwa kuwa ndio unaoleta nguvu ya kitaifa

Posted on: April 26th, 2022

Watanzania wametakiwa kuuheshimu na kuunga mkono muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kuwa mataifa yenye nguvu duniani ni yale yaliyounganisha nchi mbalimbali.

Wito huo umetolewa leo Jumanne Apili 26, 2022 na Mkuu wa wilaya ya Newala Mhe. Mwangi Rajabu Kundya katika sherehe za maadhimisho ya siku ya muungano wa Tanzania bara na visiwani iliyoadhimishwa kiwilaya katika hospitali ya halmashauri ya mji Newala.

Mhe. Kundya amesema taifa lililotokana na muungano wa nchi ndilo lenye uchumi imara, nguvu yakidola na maamuzi na kwa muungano wa Tanzania unao faida nyingi za uchumi na usalama unaochochewa na waasisi wake ambao waliweka mbele maslahi ya watanzania katika mkataba wa kuunganisha nchi hizo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Newala Bi. Shamim Daudi Mwariko amesema ni muhimu kuuenzi muungano huu wenye thamani kamili ya Nchi yetu kutokana misingi na malengo madhubuti ambayo yaliwekwa na waasisi wake.

Aidha amefafanua kuwa kutokana na umuhimu wa siku yenyewe halmashauri iliamua kuadhimisha kwa kufanya usafi eneo la hospitali ya wilaya, kutoa vipimo bure vya magonjwa wasiyopewa kipaumbele kwa wananchi pamoja na kutembelea na kuwasadia wazazi katika wodi ya Watoto.

Kaimu Mganga mkuu wa halmashauri ya mji Newala Dkt. Mohamedi Khalifa amesema unaona faida kubwa ya muungano na yeye mwenyewe ni mfano wa matunda ya muungano japokuwa amezaliwa visiwani lakini ameajira Tanzania bara pasipo kuwa na vikwazo vya ukabila na utaifa.


Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa