Posted on: June 7th, 2022
Wananchi wa mkoa wa Mtwara wametakiwa kutambua kuwa zao la muhogo ndio zao mbadala la chakula na biashara ikiwa wataliendeleza kwa kutumia mbinu na mbegu bora za kisasa.
Hayo yameelezwa Jumanne Jun...
Posted on: May 25th, 2022
Idara ya elimu sekondari halmashauri ya ya Mji Newala imepokea vitabu 8150 vya masomo ya sanaa na sayansi ikiwa awamu ya pili mgao wa vitabu kutoka wizara ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali ...
Posted on: May 19th, 2022
Mkuu wa wilaya Newala Mh. Mwangi Rajabu Kundya amewataka wananchi kujiandaa na zoezi la sensa ya watu na makazi 2022 kwa kuwa na taarifa sahihi za kaya zao kabla ya zoezi zipatikane takwimu za k...