Posted on: August 27th, 2025
Wadau wa elimu halmashauri ya Mji Newala wameomba uwepo wa ushirikiano baina yao, wazazi, wataalam wa elimu pamoja na wanafunzi utakaosaidia kuinua kiwango cha elimu.
Wameyaeleza hayo katika kilele...
Posted on: August 26th, 2025
Zoezi la kuchanja mifugo halmashauri ya Mji Newala linaendelea vizuri ambapo mpaka sasa Mbuzi na Kondoo 1556 wamepatiwa chanjo na sotoka pamoja na Ng’ombe 111 wameshapatiwa chanjo ya homa ya mapafu.
...
Posted on: August 24th, 2025
Mkuu wa Jeshi la magereza wilayani Newala SSP Sauli Mayage, amewaongoza maafisa wa jeshi hilo kuchangia damu pamoja na kufanya usafi katika hospitali ya wilaya ya Newala ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa...