Posted on: August 30th, 2025
Halmashauri ya Mji Newala imeibuka mshindi wa tatu katika sanaa ya muziki wa asili na kuzawadiwa kikombe katika mashindano ya kitaifa ya mamlaka za serikali za mitaa (SHIMISEMITA).
Mkurugenzi wa Ha...
Posted on: August 27th, 2025
Wadau wa elimu halmashauri ya Mji Newala wameomba uwepo wa ushirikiano baina yao, wazazi, wataalam wa elimu pamoja na wanafunzi utakaosaidia kuinua kiwango cha elimu.
Wameyaeleza hayo katika kilele...
Posted on: August 26th, 2025
Zoezi la kuchanja mifugo halmashauri ya Mji Newala linaendelea vizuri ambapo mpaka sasa Mbuzi na Kondoo 1556 wamepatiwa chanjo na sotoka pamoja na Ng’ombe 111 wameshapatiwa chanjo ya homa ya mapafu.
...