Posted on: September 4th, 2025
Halmashauri ya Mji Newala kwa mwaka 2024/2025 imetekeleza sera ya uwezeshaji wananchi kiuchumi kwa kutoa mikopo jumuishi ya asilimia 10% yenye thamani ya shilingi milioni 292.8 kwa makundi lengwa ya v...
Posted on: August 30th, 2025
Halmashauri ya Mji Newala imeibuka mshindi wa tatu katika sanaa ya muziki wa asili na kuzawadiwa kikombe katika mashindano ya kitaifa ya mamlaka za serikali za mitaa (SHIMISEMITA).
Mkurugenzi wa Ha...
Posted on: August 27th, 2025
Wadau wa elimu halmashauri ya Mji Newala wameomba uwepo wa ushirikiano baina yao, wazazi, wataalam wa elimu pamoja na wanafunzi utakaosaidia kuinua kiwango cha elimu.
Wameyaeleza hayo katika kilele...