• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

757 WAFIKIWA NA UCHUNGUZI WA SARATANI YA MATITI CHINI YA JHPIEGO

Posted on: August 11th, 2025

Wananchi 757 wamefanyiwa uchunguzi wa saratani ya matiti na shinikizo la damu katika kampeni ya siku 5 iliyoendeshwa na taasisi ya kudhibiti saratani ya matiti JHPIEGO chini ya ufadhili wa Pfizer foundation wakishirikiana na halmashauri ya Mji Newala.

Bi. Hadija Shakila afisa muuguzi msaidizi na mtakwimu wa saratani ya matiti halmashauri ya Mji Newala ameeleza kuwa watu wa jinsi zote walijitokeza na kati yao wanaume walikuwa 59 na wanawake 698 huku 76 miongoni mwao walibainika kuwa na dalili za awali.

Afisa huyo amesema “katika hao 76 sio kama wameshajulikana wana saratani hapana, hao ndio tumeona wana dalili moja au mbili yakuashiria ugonjwa wa saratani. baadaya kurudi vipimo ndiyo tutajua wapi ambao wana shida na ambao hawana shida.”

Kapande wake Dkt. Rashid Suleiman mtaalam mbobezi wa upasuaji na mratibu wa kampeni hiyo amebainisha shida ya magonjwa ya matiti ikiwemo saratani ya matiti nchini ni kubwa ikihusisha na wanaume ambapo 1% hadi 5% ya wanaume wanaugua saratani ya matiti.

Mkurugenzi wa taasisi ya kudhibiti saratani ya matiti JHPIEGO Dkt. Maryrose Giattas amesema taasisi yake inafanya kazi katika mikoa minne ya Tanzania bara Mwanza, Tanga, Morogoro na Mtwara wakilenga kupunguza ukubwa wa tatizo.

Dkt. Maryrose amefafanua sababu za kuchagua mkoa wa Mtwara “kulingana na takwimu tulizonazo mkoa una wagonjwa wengi wa saratani mbalimbali sio tu ya matiti tulishirikiana wizara ya afya kuchakata data na kwa mkoa wa Mtwara tunasaidia halmashauri zote tisa”.

 Aidha ameeleza kuwa katika kutekeleza jukumu la mradi huo la kudhibiti saratani ya matiti nchini JHPIEGO inashirikiana na wizara ya Afya, Ofisi ya Rais TAMISEMI pamoja na wasimamizi wa afya ngazi ya mkoa na halmashauri chini ya ufadhili wa Pfizer foundation.

Kampeni ya uchunguzi saratani ya matiti halmashauri ya Mji Newala ilianza tarehe 05/08/2025 na kuhitimishwa tarehe 09/08/2025 ikiendeshwa kwenye vituo vitatu vya zahanati ya Makonga, kituo cha afya Mkunya pamoja na hospitali ya wilaya ya Newala.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MHE. KUNDYA AWAAGIZA WATAALAM WA KILIMO NA FEDHA KUWAELISHA WAKULIMA KUHUSU UTUNZAJI WA FEDHA

    August 20, 2025
  • TAASISI NA VITENGO VINAVYOSIMAMIA USAFI MSHIRIKIANE KUTOA ELIMU KWA JAMII

    August 19, 2025
  • MAAFISA UGANI WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UTAMBUZI WA WANYAMA

    August 16, 2025
  • JAMII YATAKIWA KUWAAMINI VIJANA NA KUWAPATIA FURSA

    August 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa