• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Baraza la Madiwani la halmashauri ya Mji Newala limeidhinisha rasimu ya bajeti ya mapato na matumizi ya shilingi bilioni 19 kwa 2019-2020

Posted on: February 15th, 2019


Baraza la Madiwani la halmashauri ya Mji Newala jana 14 February, 2019 limeidhinisha rasimu ya bajeti ya maendeleo ya mapato na matumizi kwa mwaka 2019-2020 yenye thamani ya shilingi bilioni 19,028,167,045/=

Akizungumza mara baada ya kupitisha rasimu hiyo ya bajeti Mwenyekiti wa halamshauri hiyo Mhe. Sambili Mohamedi amewataka madiwani na wataalamu kuwa tayari na kujielekeza kwenye utekelezaji wa bajeti kwa kuunganisha nguvu na kushikamana wakati wa kutekeleza miradi kama ilivyoekezwa kwenye mapendekezo.

Kwa upande Mkurugenzi wa halmashauri, Ndugu Andrew Mgaya, amesema mapendekezo hayo siyo ya moja moja kutokana na miongozo ya kibajeti, kwani hivi sasa serikali inaangalia zaidi  miradi mikakati na kwamba imeachana na miradi midogo midogo hivyo upo uwezekano wa kubadilika kwa kuwekewa ukomo wa bajeti kutokana na miradi iliyopendekezwa.

Aidha Mkurugenzi amewapongeza madiwani kwa michango yao ya kubaini vyanzo vipya vya mapato na kuwaomba kusaidia kutoa elimu kwa wananchi juu mradi mipya ya halmashauri inayoenda kutekelezwa ya upimaji ardhi shirikishi, anuani za makazi pamoja na utoaji wa vibali ya ujenzi.

Aidha jumla ya fedha hizo pendekezwa zinazokadiriwa kukusanywa na kutumika mishahara ni shilingi bilioni 13,092,421,545 sawa na 69%, Matumizi mengine ni shilingi bilioni 1,683,554,000 sawa na 9%, miradi ya maendeleo shilingi bilioni 3,963,371,500 sawa na 21% na shilingi milioni 280,000,000/= sawa na 1% michango ya wananchi.




Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa