• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Halmashauri Nchini zimetakiwa kuendelea kuhifadhi mazingira, kutunga sheria ndogo na kutenga bajeti

Posted on: April 7th, 2023

Halmashauri Nchini zimetakiwa kuendelea kuhifadhi mazingira, kuanzisha sheria ndogo ndogo za utunzaji mazingira pamoja na kutenga bajeti zitakazo wezesha shughuli za utunzaji mazingira.

Agizo hilo limetolewa na Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa Bi. Atupokile Mhalila wakati anatoa salamu za mwenge kwa wananchi wa kijiji cha Amani kilichopo Kata ya Mcholi 1 wakati mbio za mwenge zilipofika kijijini hapo kuzindua nyumba ya mtumishi wa zahanati ya kijiji.

Bi. Mhalila amesema mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu zimebeba ujumbe mkuu unaohimiza uhifadhi wa mazingira hivyo Halmashauri kama chombo kinachotumika kutekeleza shughuli mbalimbali za kijamii zinazo wajibu wa kuboresha sheria na kuongeza usimamizi.

Aidha amewataka wananchi wa Newala kutunza mazingira kwa kuacha kukata miti hovyo, kutupa taka bila kuzingatia uhifadhi wa mazingira na kufanya kilimo karibu na vyanzo vya maji kwani kufanya hivyo kunapelekea hali ya ongezeko la mabadiliko ya tabia ya nchi kwa kuwa na, ukame, uhaba wa mvua, mlipuko wa magonjwa pamoja na joto kali.

Katika Halmashauri ya Mji Newala Mwenge wa Uhuru unatarajia kutembelea miradi tisa ya maendeleo na mradi wa ujenzi wa nyumba ya mtumishi Zahanati ya Amani umetokana na mapato ya ndani ya halmashauri na umetekelezwa kwa Force Account ukiwa na thamani ya shilingi milioni 52.452 kati hizo shilingi laki 5 ni mchango wa nguvu za wa wananchi.

Mbio za Mwenge wa Uhuru umekagua na kuridhishwa na hatua za ujenzi na kuridhia ufunguzi wa matumizi ya nyumba hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa