• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

HALMASHAURI YA MJI NEWALA YAADHIMISHA JUMA LA ELIMU

Posted on: August 12th, 2025

Halmashauri ya Mji Newala kwa mwaka wa fedha 2024/2025 imepokea shilingi bilioni 3.38 kutoka serikali kuu na wadau wamaendeleo kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu kwa shule za msingi na sekondari.

Hayo yamebainishwa na mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya juma la elimu Mkuu wa wilaya Newala Mhe. Mwangi Kundya ambapo ameeleza kuwa serikali imelenga kupunguza changamoto na vikwazo katika elimu.

“Fedha hizi zimetekeleza miradi ya Boost, Sequip, EP4R pamoja na miradi ya ufadhili wa BARICK ili kuhakikisha jamii yetu inapata elimu kamilifu, na kuweza kumudu ushindani katika ulimwengu” 

Aidha Mhe. Kundya amesema katika kuongeza kasi ya kuinua elimu serikali imeajiri walimu 49 wa halmashauri hiyo walimu 24 wa shule zamsingi na 25 wa shule za sekondari sambamba na kuwapatia vitabu vya mitaala iliyoboreshwa, vifaa vya maabara, Tehama pamoja vifaa vya ufundishaji na ujifunzaji kwa madarasa ya awali.

Hata hivyo kutokana na tathmini ya matokeo miaka mitatu, kuwa na ulingano wa ufaulu ameagiza Idara ya elimu kuchukua hatua za kutafuta majawabu ya changamoto yatakayowezesha kuongeza ufaulu.

Kwaupande wake Katibu tawala wa wilaya ya Newala Ndg. Thomas Safari amesisitiza suala la nidhani njema na mavazi kwa walimu pamoja na walimu kuonyesha upendo kwa wanafunzi vitasaidia kuongeza kiwango cha taaluma.

Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Ndg. Geofrey Nnauye amewaomba watumishi hususani walimu kupunguza fikra za kutaka uhamisho kwa kuwa ni moja ya chanagamoto inayoikabili idara ya elimu na kwa wale wanaotaka kufanya hivyo wafuate utaratibu.

Akizungumzia maadhimisho hayo Mkuu wa idara ya elimu sekondari Mwl. Diana Sonno amesema lengo la juma la elimu ni kuboresha ujifunzaji na ufundishaji kwa kufanya tathmini ya kwa kushirikiana na wadau wa elimu saw ana lengo la serikali.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MHE. KUNDYA AWAAGIZA WATAALAM WA KILIMO NA FEDHA KUWAELISHA WAKULIMA KUHUSU UTUNZAJI WA FEDHA

    August 20, 2025
  • TAASISI NA VITENGO VINAVYOSIMAMIA USAFI MSHIRIKIANE KUTOA ELIMU KWA JAMII

    August 19, 2025
  • MAAFISA UGANI WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UTAMBUZI WA WANYAMA

    August 16, 2025
  • JAMII YATAKIWA KUWAAMINI VIJANA NA KUWAPATIA FURSA

    August 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa