• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Halmashauri yazipongeza shule zilizofanya vizuri 2019 kwa cheti cha ubora na fedha

Posted on: March 23rd, 2020

Halmashauri ya Mji Newala imetoa pongezi kwa shule za msingi na sekondari zilizofanya vizuri kwenye matokeo ya darasa la saba, kidato cha nne na cha sita mwaka 2019, kwa kuzikabidhi vyeti vya ubora na fedha tasilimu kama motisha.

Hafla ya kukabidhi zawadi hizo ilifanyika mwishoni mwa juma Ijumaa Machi 20, 2020 katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo na mgeni rasmi aliyekabidhi zawadi hizo ni Mkuu wa wilaya ya Newala Bi. Aziza Mangosongo ambae ameipongez halmashauri hiyo kwa hatua ya kuthamini mchango wa waalimu.

Mkuu wa Wilaya amesema ni heshima ya pekee kwa waalimu kutiwa moyo kutokana na kazi yao ngumu wanayoifanya kwani wamekua mstari wa mbele kuhakikisha kunakua na ustawi nzuri wa watoto, kuanzia darasani na malezi mengine ya kijamii kama kuwalinda, kuwafundisha heshima na maadili mema.

Aidha Mhe. Mangosongo ametoa pongezi kwa Mkurugenzi wa halmashauri kwa kuwa mkurugenzi bora katika kusimamia maendeleo sambamba na waalimu hao ambao wameamiwa katika kusimamia miradi na shughuli mbalimbali za kitaifa kwa mafanikio.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi ambae ni Afisa Elimu Sekondari Mwl. Athuman Salum amesema halmashauri imeziona jitihada kubwa zinazofanywa na waalimu, hivyo hatua hiyo imelenga kutambua mchango wao ambao una thamani kubwa ili kuongeza hari ya ufundishaji na ufaulu kwa wanafunzi ambao ndio taifa la baadae linalotegemewa.

Akitoa taarifa ya hali ya ufaulu ya halmshauri hiyo Afisa Elimu Msingi Taaluma , Said Kaminya amesema ufaulu kwa halmashauri hiyo umeongezeka toka 91% hadi 94% kwa shule za msingi ambapo kimkoa imekua, kidato cha nne ufaulu umekua 79.81% kimkoa imekua ya tano na kidato cha sita ufaulu umekua 100% na kushika nafasi ya kwanza kimkoa.

Shule za msingi zenye darasa la wanafuzi chini ya 40 zilizopewa zawadi ya fedha na vyeti ya kwanza ni Kikuyu Tsh. 300,000/=, Chikwaya Tsh. 200,00/= ya pili na ya tatu Nanyonda Tsh. 150,000/=,  shule zenye wanafunzi zaidi ya 40 ni Likuna Tsh. 300,000/= nafasi ya kwanza, Newala Tsh. 200,000/= ya pili na Mkunya Tsh. 150,000/=

Sekondari Kidato cha nne ya kwanza ni Kiuta Tsh. 300,00/=, Kusini Tsh. 200,000/= na Malegesi Tsh. 150,000/= pamoja na sekondari kidato cha sita ni Kiuta iyopata Tsh. 300,000/=.



Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa