• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

HOSPITALI YA WILAYA NEWALA YAANZA KUTOA HUDUMA YA UCHUNGUZI SARATANI YA MATITI

Posted on: August 13th, 2025

Halmashauri ya Mji Newala imeishukuru taasisi binafsi ya kitaifa inayodhibiti saratani ya matiti JHPIEGO kwa kuwawezesha matabibu na wauguzi kupata ujuzi wa kufanya uchunguzi na kubaini wagonjwa.

Taasisi ya JHPIEGO chini ya ufadhili wa Pfizer Foundation kwa kushirikiana na wizara ya afya na TAMISEMI hivi karibuni wameendesha kampeni ya siku tano ya uchunguzi wa saratani ya matiti ndani ya halmashauri ya Mji Newala.

Mkurugenzi wa taasisi hiyo Dkt. Maryrose Giattes amesema lengo lao kuu ni kudhibiti ongezeko la wahanga wa saratani ya matiti kwa kuhakikisha 60% ya wagonjwa wanagundulika katika hatua ya wali sambamba na kuwajengea uwezo wataalam.

Dkt. Giattes ameongeza “vilevile tunawajengea uwezo watoa huduma wa afya wa nne madakatari na manesi pamoja na mtaalam mmoja wa ultrasosund katika kila halmashauri kwenye vituo huduma, waweze kuchukua sampuli na kuzifanyia uchunguzi wa kubaini tatizo”.

Mmjo wa wanufaika wa mafunzo hayo ambaye mtakwimu wa saratani ya matiti halmashauri ya Mji Newala Bi. Hadija Shikila ameshukuru kwa mafunzo hayo na kueleza kuwa kwasasa wameongeza ujuzi wa kuwabaini wagonjwa wenye dalili ya saratani ya matiti.

Aidha Bi. Shikila ambaye pia ni muuguzi msaidizi katika hospitali ya wilaya ya Newala ameeleza kuwa kwasasa wapo tayari kutoa huduma ya uchunguzi hospitalini hapo hivyo wananchi wajitokeze kupata huduma.

Kwa upande wake mkufunzi wa mafunzo hayo Dkt. Rashid Suleiman ameeleza mafunzo hayo yamehusisha namna ya kufanya uchunguzi kupitia njia ya kupapasa titi na uchunguzi wa ultrasound kwa kuchukua vinyama kwenye matiti au maji maji.

“mafunzo haya tunatoa darasani kuelekeza, kwa kutumia midoli na vifaa vifaa vingine lakini pia tunawaekeleza kwa njia ya vitendo namna ya kupapasa titi, kuchukua vinyama na maji kupitia kuchoma sindano na uchunguzi wa ultrasound.” Ameeleza Dkt. Suleimani

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA UDEREVA September 01, 2025
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI NNAUYE AWASHUKURU JHPIEGO KWA KUSHIKISHA JAMII ELIMU YA SARATANI YA MATITI

    September 11, 2025
  • WATAHINIWA 2516 HALMASHAURI YA MJI NEWALA KUHITIMU DARASA LA SABA 2025

    September 08, 2025
  • DC KUNYA AITAKA JAMII IWAANDALIE WAZEE MAZINGIRA BORA ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI

    September 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA NEWALA AWATAKA WAZEE WA MKOA WA MTWARA KUSAIDIA KUIMARISHA MAADILI YA VIJANA

    September 04, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa