• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Idara ya afya kitengo cha lishe wametakiwa kuwaongezea ujuzi Watoa Huduma Ngazi ya Jamii

Posted on: July 18th, 2022

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Newala Bi. Shamim Mwariko leo Jumatatu Julai 18, 2022 ameiagiza idara ya afya kupitia kitengo cha lishe kuwaongezea ujuzi Watoa Huduma Ngazi ya Jamii (WAJA) ili watoe msaada wa kuimarisha afya za watu katika maeneo yao.

Ametoa agizo hilo katika kikao cha kamati ya lishe robo nne 2021/2022 kufuatia taarifa ya baadhi ya wajazito kutotumia dawa za kuongeza wekundu wa damu (FEFO) kutokana na sababu mbalimbali ikiwepo maudhi baada ya kunywa pamoja na imani potofu katika ndani ya jamii.

Amesema jamii kutojua umuhimu wa FEFO unatokana na mambo mengi ikiwa pamoja na kukosa elimu sahihi, maisha duni, ugonvi wa kifamilia, msongo wa mawazo na mambo mengine kama hayo hivyo waja WAJA wakiwezesha wanao uwezo wakuwafikia kirahisi na kuwabadilisha mtazamo

Mkurugenzi amesema “unakwenda kwenye nyumba hakuna cha mwanaume pale hakuna cha nini, yeye mwenyewe yuko very stressed alafu wewe unazungumzia mambo ya kunywa FEFO, yeye anafikiria nikitoka kliniki nitaambiwa mama jiandae unakaribia kujifungua beba sijui hiki, beba hiki, hana hata kanga atafikiria FEFO huyo?  yaani kwa hiyo tuangalie reality ya mazingira yetu watu wetu wengi wapo katika hatua gani.

Hata hivyo Bi. Mwariko amefafanua kuwa suala la lishe ni muhimu kuanzia ngazi familia na ndilo linalotafsiri hali halisi ya maisha ya baadae ya mtoto na mwelekeo wa Taifa kwa kuwa kama hakuna lishe bora hakuna kujifunza na hiyo upelekea kukosa fikra pana za maendeleo kutokana na udumavu wa akili.

Akichangia jambo hilo mjumbe wa kamati ambaye pia ni Afisa Afya Mazingira Bi. Beatrice Mahiri amesema vidonge vya FEFO ni kwa ajili ya kuongeza damu na kumlinda mtoto dhidi ya mgongo wazi hivyo ni vema kama elimu ya kutumia vyakula vinavyoongeza damu kama mbogamboga na matunda inaweza kusaidia usalama wa mama na mtoto.

Akitoa taarifa ya lishe ya robo ya nne Afisa Lishe wa Halmashauri hiyo Bw. Enos Kuzenza ametaarifu wajawazito 1942 waliohudhuria kliniki walipatiwa dawa hizo, watoto 19 walipatiwa matibabu ya utapiamlo mkali, kufanya maadhimisho ya siku ya afya na lishe kwenye kata zote 16, wazazi 1856 wenye watoto wa miezi 0-23 walipatiwa elimu ya ulishaji na WAJA pamoja na wazazi 6001 walipatiwa elimu hivyo katika vituo vya kutolea huduma za afya.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa