• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YA HALMASHAURI YA MJI NEWALA IMETOA MILIONI 80,500,000/= NA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA VIKUNDI 27 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU

Posted on: November 29th, 2018

Idara ya Maendeleo ya Jamii ya Halmashauri ya Mji Newala Mkoani Mtwara, leo Novembe 29, 2018 imeanza kutoa mafunzo ya awali kwa vikundi 27 vya maendeleo, vinavyotarajia kupata mkopo wa shilingi 80,500,000/= kwa wanawake, vijana na walemavu.

Akizungumza mara baada ya mafunzo hayo yaliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi za TARURA Newala Mjini, Afisa Maendeleo ya Jamii wa halmashauri hiyo Bi. Frola Barakana amesema mafunzo hayo yanasaidia kuvijengea uwezo vikundi ili viweze kufikia malengo yake nakutekeleza kikamilifu matakwa ya sheria ya mikopo  pamoja na ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Mji Newala Bi Frola Barakana.

Aidha Barakana amefafanua kuwa, kabla ya kutoa mikopo ni vema vikundi vikapata muongozo wa namna ya kutunza kumbukumbu kutokana na mabadiliko na mitazamo mipya inayokwenda sambamba na mahitaji ya shughuli za maendeleo kwa wakati husika.

Mwakilishi wa kundi la vijana Bwana Issa Malimusi na Bi. Kulusumu Mnayahika mwakilishi wa kundi la wanawake kwa pamoja wamesema, mikopo hiyo imewanufaisha kwa kiasi kikubwa kwani imekua mkombozi katika mipango yao ya maendeleo ya kujikwamua kiuchumi, huku wakiipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapatia mikopo.

 “mikopo hii ina faida kubwa kwetu kam kwenye kikundi chetu tunafanya shughuli za ufugaji na ubanguaji korosho hivyo niwaobe vijana waendelee kuwa kwenye vikundi na kutembelea maendeleo ya jamii kwa ajili ya kupata ushauri.” alisema Issa Malimusi.

Washiriki wamafunzo kifuatilia kwa makini maelekezo yanayotolewa kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi za TARURA Newala mjini.

Kwa upande wake mwakilishi wa kundi la walemavu Bwana Shaibu Nanyalika, ametoa pongezi kwa halmashauri ya Mji Newala kupitia idara ya maendeleo ya jamii na serikali kwa ujumla, kwa kuliona na kulitambua kundi hilo linalosahaulika na kuwataka maafisa maendeleo waendelee  kuwapa muongozo katika hatua za kutekeleza miradi yao, huku akiziomba taasisi zingine kuiga mfano huo.

PICHA ZAIDI





Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa