• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

JAMII YATAKIWA KUWAAMINI VIJANA NA KUWAPATIA FURSA

Posted on: August 14th, 2025

Katika kuadhimisha ya siku ya vijana duniani Agosti 12, 2025 jamii imetakiwa kuwapatia fursa na kuwaamini vijana kama njia muhimu ya kuyafikia malengo mbalimbali ya kitaifa.

Rai hiyo imetolewa na afisa vijana wa halmashauri ya Mji Newala Ndg. Victor Mwaike wakati anazungumzia maadhimisho hayo na kueleza kuwa nguvu ya taifa lolote ipo kwa vijana na huu ni wakati wa kuaminiwa katika kutekeleza mambo mabalimbali.

“Tukumbuke ya kwamba 51% ya nguvu kazi ya nchi yetu inategemea vijana hivyo uwezeshaji wa vijana ni jambo lamsingi na jambo la muhimu sana kwa ajili ya maendeleo endelevu ya taifa letu”

Hata hivyo Mwaike amewata vijana kujikita katika kuzingazia fursa mbalimbali zikiwemo za kujiunga kwenye vikundi vya ujasiriamali na kupata mikopo inayotolewa na serikali kupitia halamashauri badala ya kusubiri na kukata tamaa.

“Kwa kuzingatia kaulimbiu ya mwaka 2025 isemayo Uwezeshaji Wa Vijana, Kwa Kesho Endelevu, Vijana wanakila sababu ya  kuweka mazingira wakuwezeshwa kiuchumi, ipo mikopo ya 10% inayotolewa na halmashauri na ipo mifuko ya vijana.”

Aidha Halmashauri ya Mji Newala imeadhimisha siku hiyo katika kijiji cha Mcholi Godauni kata ya Mtumachi kwa kutoe elimu na hamasa katika nyanja ya uwezeshaji vijana kiuchumi, elimu, siasa pamoja na kufanya bonanza la michezo kwa vijana.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MHE. KUNDYA AWAAGIZA WATAALAM WA KILIMO NA FEDHA KUWAELISHA WAKULIMA KUHUSU UTUNZAJI WA FEDHA

    August 20, 2025
  • TAASISI NA VITENGO VINAVYOSIMAMIA USAFI MSHIRIKIANE KUTOA ELIMU KWA JAMII

    August 19, 2025
  • MAAFISA UGANI WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UTAMBUZI WA WANYAMA

    August 16, 2025
  • JAMII YATAKIWA KUWAAMINI VIJANA NA KUWAPATIA FURSA

    August 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa