• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

JESHI LA MAGEREZA NEWALA WACHANGIA DAMU, KUFARIJI WAGONJWA NA KUFANYA USAFI HOSPITALI YA WILAYA NEWALA

Posted on: August 24th, 2025

Mkuu wa Jeshi la magereza wilayani Newala SSP Sauli Mayage, amewaongoza maafisa wa jeshi hilo kuchangia damu pamoja na kufanya usafi katika hospitali ya wilaya ya Newala ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa maadhimisho ya kutimiza miaka 64 ya jeshi hilo baada ya uhuru

Kaimu Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo Dkt. Scolastica Lugenge kwa niaba ya Mganga mkuu wa halmashauri ya Mji Newala amelishukuru jeshi hilo hasa kwa kitendo cha uchangiaji damu kwa kuwa kimesaidia kuokoa maisha ya watu kuongeza akiba ya damu.

“Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa jeshi la magereza kwa kujumika nasi wanapozindua sherehe zao za kutimiza miaka 64 baada ya uhuru, shughuli ya kuchangia damu imesidia kuongeza store za damu na pia kuokoa maisha.” Ameeleza Daktari huyo

Aidha Dkt. Lugenge ameziomba taasisi zingine za umma na kijamii pamoja na jamii yote kwa ujumla kuiga mfano huo wa kujitokeza kuwafariji wagonjwa na kuhamasishana katika ushiriki wa uchagiaji damu.

Kwa upande wake afisa afya wa halamshauri ya Mji Newala Bi. Beatrice Mahiri ameeleza kuwa masuala ya afya na usafi wa mazingira ni ya muhimu kwa ajili ya kuepuka maradhi mbalimbali yatokanayo na uchafuzi wa mazingira.

“Nawashukuru sana kwa maamuzi amabyo walichukua kuja kutusaidia udafika katika hospitali yetu na kwa kweli wamefanya usafi vizuri wamesawazisha baadhi ya maeneo ambayo yalikua hayaja kaa vizuri kuzunguka jengo la dharula, wamedeki jengo na njia zake”.

Hata hivyo ameitaka jamii kuwa na tabia ya kuweka mazingira yao safi kwa kushiriki siku za usafi na kamapeni zinazoandaliwa katika maeneo ya taasisi za umma, ofisi za umma, hospitali, shule na mengineyo kwa ajili ya kujilinda na uchafu.

Jeshi la Magereza nchini limezindua maadhimisho ya kutimiza miaka 64 baada ya Uhuru tarehe 23/08/2025 na kilele chake kitakuwa tarehe 26/08/2025 chini ya kaulimbiu isemayo “Ushirikiano wa Jeshi La Magereza na Jamii, Kwa Urekebishaji Wenye Tija”.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WADAU WA ELIMU WATAKA USHIRIKIANO ILI KUINUA KIWANGO CHA ELIMU

    August 27, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI CHANJO KWA MIFUNGO NG'OMBE 111 MBUZI NA KONDOO 1556 WAMESHAPATIWA CHANJO YA RUZUKU

    August 26, 2025
  • JESHI LA MAGEREZA NEWALA WACHANGIA DAMU, KUFARIJI WAGONJWA NA KUFANYA USAFI HOSPITALI YA WILAYA NEWALA

    August 24, 2025
  • MHE. KUNDYA AWAAGIZA WATAALAM WA KILIMO NA FEDHA KUWAELISHA WAKULIMA KUHUSU UTUNZAJI WA FEDHA

    August 20, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa