• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

KAMATI YA FEDHA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: August 7th, 2025

Wasimamizi wa miradi ya maendeleo wameshauriwa simamia miongozo inayotolewa pamoja na kushirikisha wadau husika kabla na wakati wa utekelezaji ili kuleta uelewa wa pamoja.

Ushauri huo umetolewa Agosti 07, 2025 na Mwenyekiti wa kamati ya fedha ya Halmashauri ya Mji Newala Ndg. Geofrey Nnauye, katika ya ziara ya kamati hiyo yar obo ya nne 2024/2025 ya kukagua ya miradi ya maendeleo.

“Kama katikati wakati wa utekelezaji kuna changamoto tumepitia na kuna mamlaka zingine zimetembelea na kutoa mapendekezo, ushauri tunatakiwa kurudi kwa watu wapewe taarifa, ili kujenga uelewa kwa wote” Nnauye amewashauri wasimamizi wa miradi.

Aidha Mweyekiti Nnauye amewasisitiza wahandisi, kuwasimamia kikamilifu mafundi katika hatua zote na kuwapa ushuri wa kitaalamu, utakao ondoa maswali na kufanikisha ukamilishaji wa miradi katika ubora unaofaa.

Hata hivyo baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo walishauri wakati wa utekezaji wa miradi hiyo unaendelea huduma zingine zizingatiwe hasa huduma ya maji ili kuleta ufanisi wa matumizi baada ya kukamilika kwake.

Kamati hiyo ilitembelea mradi wa ujenzi wa jengo la kituo cha walimu eneo la tupendane, mradi wa ujenzi wa nyumba ya walimu 2 kwa 1 shule ya msingi Nambunga pamoja na ujenzi wa bweni la wanafunzi shule ya sekondari Nambunga.

Kamati hiyo kwasasa inaundwa na wajumbe wa kamati ya wataalam wa halamshauri baada ya kukasimishwa madaraka hayo kwa mujibu wa sheria kutokana na kuvunjwa kwa mabaraza ya madiwani mara baada ya kufikia ukomo wake.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MHE. KUNDYA AWAAGIZA WATAALAM WA KILIMO NA FEDHA KUWAELISHA WAKULIMA KUHUSU UTUNZAJI WA FEDHA

    August 20, 2025
  • TAASISI NA VITENGO VINAVYOSIMAMIA USAFI MSHIRIKIANE KUTOA ELIMU KWA JAMII

    August 19, 2025
  • MAAFISA UGANI WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UTAMBUZI WA WANYAMA

    August 16, 2025
  • JAMII YATAKIWA KUWAAMINI VIJANA NA KUWAPATIA FURSA

    August 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa