• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Kamati ya Lishe Newala Mji, yasisitiza wafanyabiashara kuacha kusambaza chunvi isiyo na madini joto

Posted on: October 23rd, 2019

Kamati ya Lishe ya halmashauri ya mji Newala, imewataka wafanyabiashara wanaouza chunvi kuacha kusambaza chunvi isiyo na madini joto na kuwasisitiza kuwa kufanya hivyo ni kudumaza afya za watumiaji na ni uvujifu wa sheria.

Rai hiyo imetolewa na Afisa Lishe wa halamashauri hiyo ambaye pia ni katibu wa kamati hiyo Bw. Enos Kuzenza, wakati anawasilisha taarifa ya utekelezaji ya robo ya kwanza July- Septemba 2019/2020 katika kikao cha kamati hiyo, kilichofanyika Jumatano tarehe 23/10/2019, kwenye ukumbi wa mikutano wa halamshauri.

Kuzenza amesema japokuwa elimu inatolewa mara kwa mara lakini bado wafanyabiashara wamekuwa wakikiuka utaratibu na katika kipindi cha July-Septemba wamewakamata na kuteketeza chunvi isiyo na madini joto kilo 250 pamoja na kuwatoza faini baadhi ya wafanyabiashara kutokana na kuuza chunvi hiyo kwa wananchi.

Hata hivyo kwa pamoja wajumbe wa kamati hiyo, wameitaka idara ya Afya kuhakikisha inasimamia udhibiti wa uingizwaji chunvi isiyo na madini joto kwa kushirikiana na wataalamu ngazi ya mkoa kufanya vipimo vya kiwango cha madini joto kule inakozalishwa kwenye mashamba kabla hawajauziwa wasambazaji na wauzaji wengine.

Kwa upande mwingine Mganga mkuu wa halmashauri hiyo Dkt. Joseph Fwoma, amesema zipo faida nyingi kwa mabinti wenye umri wa kupata mtoto na wamama wajazito kutumia dawa za kuongeza wekundu wa damu (FEFO) sambamba na watoto wa umri chini ya miaka mitano kupata matone ya vitamini A.

Dkt. Fwoma amefafanua kuwa, dawa hizo pamoja na matone ni kinga kwa mtoto kuanzia anapokuwa tumboni na baada ya kuzaliwa, kwa kuwa anakingwa na magonjwa kama mgongo wazi na uono hafifu, hivyo wazazi hasa wajawazito wanapaswa kujitokeza kwenye vituo vya afya ili wapate kinga na tiba kwa ajili ya usalama wao na mtoto katika hatua za uzazi na malezi.

Katika taarifa hiyo ya utekelezaji ya robo ya kwanza 2019/2020, imeeleza kuwa elimu ya vitamin A imetolewa kwenye vituo vyote vya kutolea huduma za afya kwa 139%, kuongeza upatikanaji wa nyongeza ya vitamin A, kuongeza ununuzi wa FEFO, asilimia 80 ya wajawazito wamepatiwa FEFO pamoja na sampuli 20 zilipelekwa maabara ya mkoa kwa ajili uchunguzi na sampuli 18 zimegundulika kutokuwa na madini joto kwa 0%.






Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa