• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Kikao cha Mkuu wa Mkoa wa Mtwara cha Utekelezaji wa AFUA za LISHE

Posted on: September 10th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe, Gelasius Gaspar Byakanwa (Katikati) akisaini Mikataa ya Afua za Lishe na Katibu Tawala Mkoa Dr, Jilly Elibariki Maleko (Kushoto kwake) wakati Wakuu wa Wilaya wakisaini Mkataba wa Afua za Lishe.

Na, Lunanilo L. Ngela

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Gaspar Byakanwa ameongoza kikao cha Tathmini ya lishe mkoani Mtwara kilichofanyika mapema leo katika ukumbi wa mikutano wa Mkoa ikiwa ni utekelezaji wa Agizo la Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan. Katika kikao hicho wajumbe walipata nafasi ya kujadili kwa kina hali ya utekelezaji wa Afua za lishe kwa mwaka 2017/2018, Mikakati ya namna ya kuboresha Lishe kwa kipindi cha Septemba - Juni 2019 ikiwa ni pamoja na Wakuu wa Wilaya zote za Mkoa wa Mtwara kutia saini Mkataba wa utekelezaji wa Afua za Lishe.

Katika Kikao hicho Mkuu wa Mkoa na wajumbe walibainisha changamoto mbalimbali zinazozorotesha lishe mkoani Mtwara kuwa ni pamoja na matumizi ya chumvi isiyo na madini ya joto, wanawake wajawazito kutohudhuria kliniki, utapiamlo, kula kupita kiasi, kutofanya mazoezi ya viungo, upungufu wa damu na wanawake kujifungulia nyumbani.

 Mkuu wa Mkoa amewagiza watendaji wote katika sekta ya Afya kuhakikisha wanatimiza wajibu wao ili kujenga jamii ya watu wenye afya njema inayoendana na kasi ya ujenzi wa Tanzania ya Viwanda. Amewaagiza pia Wakuu wa Wilaya kuhakikisha wanatekeleza kikamilifu makubaliano ya mkataba waliosaini wa Utekelezaji wa Afua za Lishe ikiwa ni pamoja na kuhakikisha tathmini inafanyika mara kwa mara ili kupima kiwango cha utekelezaji ambacho Wilaya imefikia.

Ofisi ya Habari Newala ilipata nafasi ya kuongea na Mhe. Aziza Mwongosongo Mkuu Mpya wa Wilaya ya Newala ambaye alipongeza uamuzi wa Mkoa katika kusimamia Lishe na aliahidi kutekeleza kikamilifu makubaliano yote ya Mkataba wa Afua za Lishe. Mheshimiwa Mwongosongo amekuwa akisisitiza wananchi wa Wilaya ya Newala kushiriki katika mazoezi ya viungo ili kujenga Afya bora inayoendana na kasi ya ujenzi wa Newala mpya.

Aidha, wajumbe wa kikao waliiomba Wilaya ya Nanyumbu kutoa uzoefu wa namna ilivyofanikiwa katika kuhamasisha jamii kutumia huduma za Afya jambo lililopongezwa sana na uongozi wa Mkoa pamoja na washiriki wengine wa kikao.

"Lishe bora, kwa maendeleo ya Mtwara"

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa