• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Maafisa ugani Newala wapokea Pikipiki 50 toka Serikalini

Posted on: March 1st, 2023

Mkuu wa Wilaya Newala Alhaj Mwangi Rajabu Kundya amewataka maafisa ugani kuwa mfano wa wakulima kwa kuwa mstari mbele katika kuhamasisha shughuli za kilimo vijijini na kuacha tabia ya kukaa ofisini.

Ameyasema hayo Februari 27, 2023 katika hafla ya ugawaji pikipiki 50 kwa maafisa hao wilayani ya Newala zilitolewa na Serikali kupitia wizara ya kilimo iliyofanyika katika viwanja vya Halmashauri ya Mji Newala.

Katika nasaha zake Mkuu huyo wa wilaya amesema Serikali imeshatekeleza wajibu wake wa kutaka kulifikia lengo la kuinua kilimo kwa kujibu changamoto ya usafiri hivyo ni wakati wa maafisa hao kuthibitisha utaalamu wao kwa kuwa karibu na wakulima katika kuinua kilimo.

Aidha amewasisitiza kuwa nia ya dhati inahitajika katika utendaji wao kwa kuwa jamii kubwa ya wakulima wa Newala ni wale wanaoamini katika kilimo cha mazoea na kinachotakiwa sasa ni kubadilisha mtazamo huo walionao kwa vitendo na sio maneno.

Kwa upande wake Mkuu wa idarq ya kilimo Halmashauri ya Mji Newala Ndg. Calistus Komba ameishukuru serikali kwa kusikia kilio chao, huku akiwataka wakulima kujitokeza kuwatumia maafisa kikamilifu kwa kuwa sasa hakuna changamoto ya kufika mashambani.

Bi. Hawa Yusuph afisa ugani wa kata ya Mtopwa halmashauri ya Wilaya ya Newala na Bwn. Hassan Haji Afisa Ugani wa Kata ya Mkulung'ulu Halmashauri ya Mji Newala wamemshukuru Rais Samia Suluhu kwa pikipiki hizo huku akiahidi kuongeza ufanisi katika kuinua kilimo chenye tija.

Wilaya ya Newala ina jumla ya maafisa ugani 56 na sita kati yao waliopeka pikipiki mpya hivi karibuni na katika mgao huu Halamashauri ya Mji Newala imepata pikipiki 22 na Halmashauri ya Wilaya Newala imepokea pikipiki 28.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI MAKARANI WA SENSA, MSIMAMIZI WA MAUDHUI NA MSIMAMIZI WA TEHAMA July 19, 2022
  • TANGAZO MIKOPO YA VIWANJA NA MATOFALI October 12, 2021
  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya fedha yataka wananchi kujilinda njaa kutokana na uhaba wa mvua na mafuriko

    March 23, 2023
  • Wakuu wa Idar na Vitengo wametakiwa kuacha upendeleo kwa watumishi wasiowajibika kazini

    March 20, 2023
  • Jamii, Wadau, Mashirika na wasimamizi wa sheria wametakiwa kijikita katika kuzuia ndoa za utotoni

    March 11, 2023
  • Halmashauri ya Mji Newala yashauriwa kuwekeza katika elimu ya matumizi ya mfumo wa TAUSI

    March 08, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa