• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

MHE. KUNDYA AWAAGIZA WATAALAM WA KILIMO NA FEDHA KUWAELISHA WAKULIMA KUHUSU UTUNZAJI WA FEDHA

Posted on: August 20th, 2025

Mkuu wa Wilaya Newala Mhe. Mwangi Kundya amewataka wataalam wa mausala ya kilimo na fedha kuwaelimisha wakulima juu ya utunzaji na matumizi bora ya fedha wanazozipata baada ya kuuza mazao yao.

Mhe. Kundya ametoa wito huo wakati anaongea na wajumbe wa mkutano wa baraza la madiwani la robo ya nne 2024/2025 la halmashauri ya Mji Newala ambapo amewataka kuwasaidia wakuliwa kupata uwelewa kuhusu umuhimu wa kuhifadhi na matumizi ya fedha.

“Tunawasihi wataalamu wetu wa kilimo watekeleze wajibu wao lakini iko haja ya wataalamu wetu wa fedha kuelimisha jamii yetu hapa panahitaji namna bora ya kufanya hali ya maisha ya wakulima yabadilike”

Hata hivyo Mkuu wa wilaya amewataka wataalam wa halmashauri kutekeleza majukumu yao kikamilifu kwa kuwa wao ndio waliobeba dira ya maendeleo ya wananchi kupitia uwajibikaji na usimamizi.

“Mheshimiwa mwenyekiti wananchi wanataka maendeleo maendeleo hayana muda yahitajika kila siku, kila wakati na kila mahali hivyo katika kipindi hiki maalum cha uendeshaji shughuli za halmashauri thamana ya kuhakikisha maendeleo kwa mwananchi yanendelea kupatikana yapo kwenye mikono yenu”.

Kwa upande wake mwenyekiti wa mkutano huo ambaye pia ni Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Newala Ndg. Geofrey Nnauye amesema wamepokea maagizo hayo ambayo tayari walishaanza kuyafanyia kazi.

“Mheshimiwa Mkuu wa wilaya sisi tayari tilishaanza ndio maana umeona katika kuwasilisha taarifa za kata uliona wakuu wa Idara na vitengo wakiwasilisha kwa kuwa hao ndio walezi wa hizo kata na kila kitu wanakielewa na kushiriki huu ni muendelezo tu”.

Mkutano huo umefanyika Agosti 18, 2025 katika ukumbi wa halmashauri ya Mji Newala ulikuwa unajadili shughuli za maendeleo zilizotekelezwa katika kipindi cha Aprili-Juni 2025 ambapo mpaka kufikia Juni 30 halmashauri imetekeleza miradi yenye jumla ya shilingi bilioni 7.26.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MHE. KUNDYA AWAAGIZA WATAALAM WA KILIMO NA FEDHA KUWAELISHA WAKULIMA KUHUSU UTUNZAJI WA FEDHA

    August 20, 2025
  • TAASISI NA VITENGO VINAVYOSIMAMIA USAFI MSHIRIKIANE KUTOA ELIMU KWA JAMII

    August 19, 2025
  • MAAFISA UGANI WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UTAMBUZI WA WANYAMA

    August 16, 2025
  • JAMII YATAKIWA KUWAAMINI VIJANA NA KUWAPATIA FURSA

    August 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa