• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mkuti Phamacy watoa mssada wa shuka 100 za wagonjwa hospitali ya Newala

Posted on: December 4th, 2021

Hospitali ya wilaya Newala iliyo chini ya Halmashauri  ya Mji Newala imepokea msaada shuka za wagonjwa 100 kama msaada kutoka taasisi inayojishughulisha na uuzaji dawa za binadamu ya Mkuti Phamacy.

Msaada umetolewa jana Jumamosi  Tarehe 4/12/2021 kwenye mkutano wa kuitimisha ziara ya mbunge wa jimbo la Newala mjini Mhe. George Mkuchika uliofanyika katika viwanja wa mahakama ya mwanzo Newala mjini, ambapo mwakilishi wa taasisi hiyo Bi. Mwanaidi Mtego amesema mssada huo utasaidia kupunguza tatizo la uhaba wa shuka katika hospitali hiyo.

Aidha Bi. Mtego amefafanua kuwa wao kama wadau wamaendeleo wamekuwa wakifanya kazi na serikali kupitia wizara ya afya katika kusaidia hospitali mbalimbali zenye uhitaji kwa kile wanachokiweza kusaidia “Ndugu muheshimiwa mbunge na waziri hii si mara yetu ya kwanza kutoa msaada, tumeshatoa mashuka 200 hospitali ya Mkomaindo Masasi na pamoja na kutoa shuku hizi 100 hospitali ya wilaya Newala lakini tutaenda kukabidhi shuka zingine 100 kituo cha Afya Kitangali” alisema.

Akipokea msaada huo kwa niaba ya wananchi wa Newala Mbunge wa Newala Mhe. George Mkuchika ametoa wito kwa wadau wengine wa maendeleo na wafanyabiashara kuwa wazalendo kwa kuiga mfano wa Mkuti Phamacy katika kujitoa kuisaidia jamii hasa kwenye maeneo muhimu kama hospitali, shule na maeneo yanayoigusa jamii.

Aidha Mhe. Mkuchika ameishukuru taasisisi hiyo kwa uzalendo wao wa kujitoa kuchangia maendeleo ya wananewala kwa kuwa bado maeneo mengi ya kitaasisi na kiidara yanahitaji kuongezewa nguvu na pale wanapojitokeza wadau kusaidia inachochea ustawi wa jamii.

Mara baada ya kupokea msaada huo wa mashuka alikabidhi kwa mganga Mkuu wa halamshauri ya mji Newala Dkt. Joseph Fwoma amabaye alimshukuru mbunge kwa kuwajali wananchi na kuwatafutia misaada inayowanufaisha watu wote hasa kwa upande wa afya kwa kuwa sekta hiyo ina mahitaji mengi ya kila siku.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa