• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mkuu wa Mkoa Gelasius Byakanwa apongeza Idara ya Elimu kwa jitihada za kuongeza ufaulu

Posted on: January 29th, 2020

Mkuu wa Mkoa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa, ametoa pongezi kwa idara ya elimu halamshauri ya Mji Newala kwa jitahadi kubwa za mipango ya kuongeza ufulu kwa wanafunzi wa kidato cha nne na cha pili.

Ameyazungumza hayo leo asubuhi Jumatano January 29, 2020 mjini Newala wakati anaongea na wananchi kupitia Redio Newala Fm, akiwa kwenye ziara yake ya kikazi wilayani hapa ambapo ameeleza kuwa ameridhishwa na jitihada zinazooneshwa na waalimu mashuleni.

Mhe. Byakanwa amesema ameridhishwa zaidi na jitihada za shule ya sekondari Malegesi ambayo miaka miwili nyuma ilikua moja ya shule zilifanya vibaya kwenye matokeo ya kidato cha pili lakini matokeo ya mwaka huu yamekua mazuri na hiyo inaonyesha namna gani watu wanatakiwa kuwajibika na kuleta maendeleo.

Aidha amepongeza msimamizi nzuri wa kampeni ya shule ni choo kwa hapa wilayani Newalana  kueleza kuwa wilaya ya Newala ni mfano wa kuigwa kwa muitikio nzuri na kutoa pongezi kwa Mkuu wa wilaya Mhe. Aziza Mangosongo kwa usimamizi wa kampeni hiyo.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa ametoa agizo kwa Maofisa watendaji wa Kata kuwakamata wazazi ambao hawajawapeleka watoto wao waliofaulu kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza, darasa la kwanza na awali kwa mwaka huu, ili wafikishwe mahakamani kwa hatua zingine za kisheria.


Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA UDEREVA September 01, 2025
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI NNAUYE AWASHUKURU JHPIEGO KWA KUSHIKISHA JAMII ELIMU YA SARATANI YA MATITI

    September 11, 2025
  • WATAHINIWA 2516 HALMASHAURI YA MJI NEWALA KUHITIMU DARASA LA SABA 2025

    September 08, 2025
  • DC KUNYA AITAKA JAMII IWAANDALIE WAZEE MAZINGIRA BORA ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI

    September 05, 2025
  • MKUU WA WILAYA NEWALA AWATAKA WAZEE WA MKOA WA MTWARA KUSAIDIA KUIMARISHA MAADILI YA VIJANA

    September 04, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa