Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mkuu wa mkoa Mtwara Brigedia Jenerali Marco Gaguti amezindua madarasa YA UVIKO-19 Halmashauri ya Mji Newala

Posted on: December 12th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marco Gaguti leo Ijumaa 12 Disemba, 2021 amepokea madarasa ya 19 ya shule za sekondari halmashauri ya mji Newala, yenye thamani ya shilingi milioni 380 yaliyojengwa kwa mpango maalumu wa Maendeleo na Ustawi wa Taifa dhidi ya UVIKO-19.

Akiongea na wanachi katika viwanja vya shule ya sekondari Newala mara baada ya kupokea madarasa hayo kutoka kwa Mkuu wa wilaya ya Newala, Brigedia Gaguti amesema amefurahishwa kwa namna mradi huo ulivyotekelezwa kwa uwazi na haraka kwa kuzingatia thamani ya fedha.

Aidha ameshauri utekelezaji wa miradi mingine ya maendeleo utumie utaratibu uliotumika kutekeleza mradi huu ili upatikane usimamizi wa wa pamoja kwa kuzingatia thamani ya fedha na ukumilishaji wa miradi kwa wakati pasipokuwa na ubabaishaji.

Hata hivyo Mkuu Mkoa amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuupatia Mkoa shilingi bilioni 8.9 kwa ajili ya mradi ya ujenzi wa madarasa 452 ya mpango maalam wa UVIKO-19 pamoja na fedha zingine shilingi bilioni 22 za utekelezaji wa miradi ya maendeleo 2021/2022.

Kutokana na kukamilika kwa mradi huo Brigedia Gaguti amesema mkoa sasa upo tayari kwa ajili ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo unaoanzia Januari 2022 na shule zihakikishe zinakamilisha zoezi la uwekaji wa dawati kwa muda uliobaki.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Newala Alhaj Mwangi Rajabu Kundya, amesema halmashauri ya Mji Newala na wilaya kwa ujumla imekamilisha utekelezaji wa mradi huo wa madarasa na kuwataka wasimamizi wa shule na wanafunzi kuyatunza madarasa hayo.

Naye Mkurugenzi wa Halamashauri ya Mji Newala Bi. Shamim Daud Mwariko ameupongeza uongozi wa mkoa kwa kuweka utaratibu nzuri ya kutekeleza mradi huo, uliopelekea kukamilisha ujenzi wa madarasa kama ili kusudiwa na kwa muda muafaka.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa