• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mkuu wa Mkoa Mtwara Brigedia Marco Gaguti atoa zawadi za shilingi milioni 120 kwa wadau wa elimu Mtwara

Posted on: April 7th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brigedia Marco Gaguti ametoa zawadi zenye thamani ya shilingi milioni 120 yakiwemo magari, pikipiki, baiskeli, vyeti na fedha taslimu kwa wadau wa elimu waliofanya vizuri kwa mwaka 2021.

Brigedia Gaguti amatoa zawadi hizo jana Jumatano Aprili 06, 2022 kwenye kilele cha sherehe za juma la elimu kimkoa zilizofanyika katika viwanja vya sabasaba halmashauri ya mji Newala, ambapo ameeleza kuwa zawadi hizo ni motisha ya kuongeza hari kazi kwa walimu, wanafunzi, shule na halmashauri kwa ujumla.

Akihutubia wananchi na wadau wa elimu waliohudhuria shererhe hizo kutoka halmashauri zote 9 za mkoa wa Mtwara amesema mkoa umedhamiria na kuweka mikakati ya kuinua kiwango cha ufaulu ili kuondoa dhana ilijengeka kuwa Mkoa wa Mtwara ni kati ya mikoa dhaifu kwa ufaulu katika matokeo ya kitaifa na kuwa na kiwango cha chini cha elimu.

Akieleza kuhusu mikakati iliyopo Mkuu wa mkoa amesema tayari mkoa na serikali umeshachukua hatua ya kuandaa juma la elimu na kutoa zawadi kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo hivyo wazazi, walimu na wanafunzi kila mmoja unapaswa kuwajibika ili kuleta matokeo yaliyokusudiwa.

Maadhimisho ya Juma la Elimu mkoani mwaka huu 2022 yamebeka kaulimbiu isemayo "Tuwajibike Pamoja Kuleta Maendeleo Ya Elimu Mtwara"


Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa