• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mkuu wa wilaya Newala amesema serikali imedhamiria kuondokana na kizazi cha utumwa

Posted on: December 9th, 2021

Katika kuadhimisha miaka 60 ya Uhuru Tanzania, Serikali imedhamiria kupambana kikamilifu na ujinga , maradhi pamoja na umasikini kwa kuwekeza kwenye sekta ya elimu kuanzia awali mpaka chuo kikuu ili kuondokana na kizazi cha utumwa.

Mkuu wa wilaya ya Newala Alhaj Mwangi Rajabu Kundya ameyasema hayo kwenye kilele cha siku ya maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania Tarehe 9 Disemba , 2021 yaliyoandaliwa na halmashauri ya mji Newala na kufanyika kwenye viwanja vya mahakama ya mwanzo Newala mjini.

Alhaj Kundya amesema huu sii wakati wa utumwa wa kifikra hivyo wazazi wanatakiwa kuhimiza watoto wao kuwa na juhudi kubwa katika elimu kwa kuwa serikali ya awamu ya sita tayari imeipatia wilaya ya Newala zaidi ya shilingi bilioni moja kwa ajili ya ujenzi wa madawati 58 na fedha zingine milioni 940 za kujenga shule mbili mpya.

Aidha Alhaj kundya amefafanua kuwa dunia sasa ipo wakati wa matumizi ya teknolojia na msingi wake ni elimu, hivyo wazazi waache kuwachelewesha watoto wao kwenye ngoma za asili na kuokota korosho kwa kuwa kufanya hivyo ni kuliandaa taifa la watumwa kwasababu ya kukosa maarifa yanayohitajika.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa halmashauri ya mji Newala Bi. Shamim Mwariko amesema katika kuadhimisha siku hiyo muhimu halmashauri iliona vema maadhimisho yajikite kwenye kuhamasisha mambo ya afya kutoa uelewa, kupima pamoja na kutoa matibabu kwa hiyo hiyo itakuwa njia moja wapo ya kuhamasisha wananchi kuzingatia huduma za afya.

Katika hatua nyingine Bi. Mwariko ameeleza kuwa afya ni rafiki wa amaendeleo na ili Tanzania yenye uchumi ulioimarika ipatikane ni lazima afya za watu wake nazo ziwe imara na hatua ya muhimu na yakwanza ni kufanya uchunguzi wa afya mapema.

Akisoma taarifa ya hospitali ya wialaya ya Newala Mganga mkuu wa halmashauri ya mji Newala Dkt. Joseph Fwoma amesema hali ya utoaji huduma hospitalini hapo imeimarika serikali imefanya maboresho ya miundombinu, vifaa tiba pamoja na upatikanaji wa dawa changamoto iliyopo ni wananwake kutojitokeza kupima saratani ya shingo la kizazi, tatizo linao onekana kushamiri kwa wananwake wengi wa eneo hilo.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa